Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.

Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.

Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.

Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.

Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.

Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.

Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
Ukifika Ukerewe utashangaa na roho yako,unakijua kibambala?kikipikwa hcho kinanukia shombo humo ndani wiki tisa[emoji16]
 
Kwanza hakikosha usafi wa nyumba yako ni wa hali ya juu.
Pili,nyumba isiwe na vitu vingi. Vitu vingi vinanyima hewa kuingia na kutoka.
Tatu,tumia air freshener. Ziko za kuspray na ziko za umeme ambazo unazitundika na kuzicontrol jinsi utakavyo.
 
Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.

Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.

Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.

Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.

Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.

Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.

Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.


Kuna huu mshumaa
I_5038580013580_50_20160519


Halafu kuna hivi vijiti ambayo vinatema tu harufu nzuri sana ya manukato 24/7.

Hivi vijiti vyaitwa "seagrass diffusers".

I_215177474_02_20150804
 
Lengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?
 
Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.

Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.

Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.

Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.

Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.

Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.

Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.

Hahaa.... Wale samaki wa Oriental ukiwa kaangia ndani harufu ni wiki nzima aisee!
 
Mkuu air freshener pekee haifanyi nyumba kunukia kihivyo. Wengi hutumia vyetezo na kuchomea kwa manukato ya kiarabu nenda kwenye maduka ya kiarabu ulizia utazipata. Kwenye gari mimi hutumia air freshener za kijapan inaitwa JDM.
 
Acha kabisa aisee.

Bora kuwapikia nje huko.

Kuna M-Nigeria mmoja yeye lunch yake samaki huwa hawakosekani! Basi akija job wakati wa lunch huwa anawapasha kwenye microwave, basi hiyo shombo watu huwa wanatamani kuondoka kwenye lunchroom![emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom