Uchaguzi 2020 Naomba kujua ratiba ya kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kesho tarehe 4/10/2020

Uchaguzi 2020 Naomba kujua ratiba ya kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kesho tarehe 4/10/2020

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Tunajua ratiba ya kampeni zake ina-resume kesho tarehe 4/10/2020....

Aidha kuna hizi "tetesi" kuwa, kampeni zake ziko suspended kwa siku 7 hadi tarehe 9/10/2020 kama adhabu ya "kikiuka sheria za mchezo"....

Upande wa pili, amekataa kuutambua uamuzi huo kwa sababu ni " batili kisheria" na kwa kuwa umefanyika pasipo kufuata utaratibu wa kikanuni kushughulikia malalamiko dhidi yake...

Ninavyomfahamu huyu "mwamba", ni kuwa, huwa akisema jambo basi hulitenda sawia....!

Naomba kujua ratiba ya kampeni zake kesho kwa sababu lazima ataanza awamu ya 3 na ya mwisho ya funga kazi....

Na je, tutarajie kuanza rasmi kwa "physical confrontation " kati ya Tundu Lissu na NEC ikisaidiwa na polisi kama juhudi zake ku - enforce adhabu waliyoitoa?

Nini kitatokea?

Surely, I am so anxious to know what exactly is going to happen starting tomorrow or the day after tomorrow....!

HAKI vs DHULUMA... Nani atashinda?
 
Kamati kuu ya chadema bado ipo kwenye majadiliano mpk usiku huu. Vuta subira
Mbowe ana kamati kuu?. Mbona hiyo kamati haihoji zile hela za ruruku makato ya 1.5M kwa wabunge?.
 
..CDM waunde timu ya wapiga kampeni itakayopita ktk maeneo ambayo TL alitakiwa afike kipindi hiki amesimamishwa.

..TL atumie muda huu kufanya tathmini ya kampeni yake, na ajiandae kurudi ktk kampeni kwa kishindo kikubwa.

..Pia TL ahakikishe anakwepa hila, fitina, hujuma, na mitego ya vyombo vya dola, na tume ya taifa ya uchaguzi.
 
Mkuu mimi nakubaliana na Lissu kutoheshimu maamuzi ya hiyo kamati FAKE ya maadili ambayo imeshindwa kumkemea Mgombea wa upande wa pili kwa ukiukaji wake wa taratibu mbali mbali za kampeni ikiwemo kutumia kisukuma na kutoa ahadi hata pesa pia. Hiyo kamati fake ni kitengo kingine cha Ikulu kinachotumika ili kumdhibiti Lissu.

1601776755213.png


..CDM waunde timu ya wapiga kampeni itakayopita ktk maeneo ambayo TL alitakiwa afike kipindi hiki amesimamishwa.

..TL atumie muda huu kufanya tathmini ya kampeni yake, na ajiandae kurudi ktk kampeni kwa kishindo kikubwa.

..Pia TL ahakikishe anakwepa hila, fitina, hujuma, na mitego ya vyombo vya dola, na tume ya taifa ya uchaguzi.
 
Mkuu mimi nakubaliana na Lissu kutoheshimu maamuzi ya hiyo kamati FAKE ya maadili ambayo imeshindwa kumkemea Mgombea wa upande wa pili kwa ukiukaji wake wa taratibu mbali mbali za kampeni ikiwemo kutumia kisukuma na kutoa ahadi hata pesa pia. Hiyo kamati fake ni kitengo kingine cha Ikulu kinachotumika ili kumdhibiti Lissu.

View attachment 1589622
Umeaoma vizuri katiba au unakurupuka tu mkuu hapo mbona wanasema mawaziri na sio Rais
 
Tume - miss habari kwa siku tatu mfululizo baada mgombea Urais - CHADEMA ndg Tundu Lissu kuwa mapumziko....

Tunajua ratiba ya kampeni zake ina - resume kesho tarehe 4/10/2020....

Aidha kuna hizi "tetesi" kuwa, kampeni zake ziko suspended kwa siku 7 hadi tarehe 9/10/2020 kama adhabu ya "kikiuka sheria za mchezo"....

Upande wa pili, amekataa kuutambua uamuzi huo kwa sababu ni " batili kisheria" na kwa kuwa umefanyika pasipo kufuata utaratibu wa kikanuni kushughulikia malalamiko dhidi yake...

Ninavyomfahamu huyu "mwamba", ni kuwa, huwa,akisema jambo basi hulitenda sawia....!

Naomba kujua ratiba ya kampeni zake kesho kwa sababu lazima ataanza awamu ya 3 na ya mwisho ya funga kazi....

Na je, tutarajie kuanza rasmi kwa "physical confrontation " kati ya Tundu Lissu na NEC ikisaidiwa na polisi kama juhudi zake ku - enforce adhabu waliyoitoa?

Nini kitatokea?

Surely, I am so anxious to know what exactly is going to happen starting tomorrow or the day after tomorrow....!

HAKI vs DHULUMA... Nani atashinda?
Mikutano iendelee kama kawaida ila Lissu asipande jukwaani kama wanavyotaka tume, akisimama kwenye gari na waweke sauti yake au video ambazo ni recorded
Kumuona Tundu Lissu tu ni kampeni tosha
 
Mikutano iendelee kama kawaida ila Lissu asipande jukwaani kama wanavyotaka tume, akisimama kwenye gari na waweke sauti yake au video ambazo ni recorded
Kumuona Tundu Lissu tu ni kampeni tosha
Hii iko poa Sana!
 
Hebu nitolee UPUUZI WAKO! Mbona Sky Eclat kaelewa nilichoandika? 😳
Hii katiba Ina mapungufu mengi sana. Ilikuwa tailored for a single party system.

Baada ya bunge kuvunjwa ilipaswa Jaji Mkuu kuendesha serikali na Rais kuwa mgombea kama wengine.
 
Wadau tunaomba mwenye ratiba ya awamu inayoanza oktoba atuwekee hapa...
 
Mbowe ana kamati kuu?. Mbona hiyo kamati haihoji zile hela za ruruku makato ya 1.5M kwa wabunge?.
Kama wabunge walivyoufyata kuhoji upotevu wa 1.5 T zilizopotea kiutatanishi
 
Au watanzania mbona wamehoji tr1.5 bila kujibiwa alizokwapua mkibwa aliyejilaza pale gereji kwa siku 8??
Mbowe ana kamati kuu?. Mbona hiyo kamati haihoji zile hela za ruruku makato ya 1.5M kwa wabunge?.
 
Mbowe ana kamati kuu?. Mbona hiyo kamati haihoji zile hela za ruruku makato ya 1.5M kwa wabunge?.
Itabidi Mbowe akumbushwe atuambie hizo 1.5 milioni za wabunge
Ila tafadhali naomba pia mkumbushe Jiwe atuambie pia zilipo 1.5 trilion za kwetu sio za wabunge
 
Back
Top Bottom