Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ipi na dhulma ipiTume - miss habari kwa siku tatu mfululizo baada mgombea Urais - CHADEMA ndg Tundu Lissu kuwa mapumziko....
Tunajua ratiba ya kampeni zake ina - resume kesho tarehe 4/10/2020....
Aidha kuna hizi "tetesi" kuwa, kampeni zake ziko suspended kwa siku 7 hadi tarehe 9/10/2020 kama adhabu ya "kikiuka sheria za mchezo"....
Upande wa pili, amekataa kuutambua uamuzi huo kwa sababu ni " batili kisheria" na kwa kuwa umefanyika pasipo kufuata utaratibu wa kikanuni kushughulikia malalamiko dhidi yake...
Ninavyomfahamu huyu "mwamba", ni kuwa, huwa,akisema jambo basi hulitenda sawia....!
Naomba kujua ratiba ya kampeni zake kesho kwa sababu lazima ataanza awamu ya 3 na ya mwisho ya funga kazi....
Na je, tutarajie kuanza rasmi kwa "physical confrontation " kati ya Tundu Lissu na NEC ikisaidiwa na polisi kama juhudi zake ku - enforce adhabu waliyoitoa?
Nini kitatokea?
Surely, I am so anxious to know what exactly is going to happen starting tomorrow or the day after tomorrow....!
HAKI vs DHULUMA... Nani atashinda?
Justice always triumphs.Tume - miss habari kwa siku tatu mfululizo baada mgombea Urais - CHADEMA ndg Tundu Lissu kuwa mapumziko....
Tunajua ratiba ya kampeni zake ina - resume kesho tarehe 4/10/2020....
Aidha kuna hizi "tetesi" kuwa, kampeni zake ziko suspended kwa siku 7 hadi tarehe 9/10/2020 kama adhabu ya "kikiuka sheria za mchezo"....
Upande wa pili, amekataa kuutambua uamuzi huo kwa sababu ni " batili kisheria" na kwa kuwa umefanyika pasipo kufuata utaratibu wa kikanuni kushughulikia malalamiko dhidi yake...
Ninavyomfahamu huyu "mwamba", ni kuwa, huwa,akisema jambo basi hulitenda sawia....!
Naomba kujua ratiba ya kampeni zake kesho kwa sababu lazima ataanza awamu ya 3 na ya mwisho ya funga kazi....
Na je, tutarajie kuanza rasmi kwa "physical confrontation " kati ya Tundu Lissu na NEC ikisaidiwa na polisi kama juhudi zake ku - enforce adhabu waliyoitoa?
Nini kitatokea?
Surely, I am so anxious to know what exactly is going to happen starting tomorrow or the day after tomorrow....!
HAKI vs DHULUMA... Nani atashinda?
Majaliwa ni Rais?Umeaoma vizuri katiba au unakurupuka tu mkuu hapo mbona wanasema mawaziri na sio Rais
Ni wakala wa RaisMajaliwa ni Rais?
Sawa wewe mwerevu ambaye hujui kusoma. Watu kama nyie ndio mzigo kwa nchi hii