Kuna "sabuni" ya kusafishia radiator kama hiyo, inaitwa "radiator-flush" kama hiiMkuu habari.
Nimechunguza pale nikifungua mfuniko wa Radiator kutu imejaa. Natumia maji ya bomba kwa muda mrefu.
Je inawezekana maji yote yakaondolewa na system nzima ikasafishwa kutu yote inaondoka? Nataka nianze kutumia Coolant ama nishachelewa/haiwezekan
Kuna gari kilikuu tata piston 2 inachemsha nimechek mfumo wa upozaji uko sawa nimechonga head na nimebadirisha gasket nimeweka namba2 bado inachemsha pump iko sawa timing iko sawa gari inawaka vizuri nipe mawazo yenu tatizo ni nini had bado inachemsha iyo engine ni overhead cam shaftBado upo nje ya nchi?
Unatumia maji ya Dawasco au coolant kwenye rejeta?Kuna gari kilikuu tata piston 2 inachemsha nimechek mfumo wa upozaji uko sawa nimechonga head na nimebadirisha gasket nimeweka namba2 bado inachemsha pump iko sawa timing iko sawa gari inawaka vizuri nipe mawazo yenu tatizo ni nini had bado inachemsha iyo engine ni overhead cam shaft
ukitumia maji ya kununua dukani hapo vipi??? coolant inauzwa sh ngapi dukani??Mkuu kuna sababu nyingi zinazosababisha
injini ya gari kuchemsha.Mojawapo ni radiator/rejeta kama
unatumia maji ya uswahilini badala ya coolant huwa zinajaa kutu
kama matope na hivyo njia za maji kuziba.Pia kuna feni
inayopoza maji kwenye radiator kama haifanyi kazi
ni sababu. Pia kama injini yako imefanyiwa overhaul
na fundi akakosea kuset timing belt hii nayo ni sababu.
Pia kuna thermalstart ambazo hutumika
kuzuia maji kuzunguka kwenye injini mpaka
joto linalotakiwa kwenye injini lifikie,
hizi kuna kipindi zinakufa na kushindwa
kufungua hata joto la injini likifikia.
hizi mara nyingi mafundi wetu huzitoa
ili kuondoa tatizo hilo,check kama gari yako inayo.
Kuna kitu kingine rahisi ambacho wewe mwenyewe
unaweza kuangalia ni mfuniko wa radiator,kama rubber
yake imechoka huwa inapitisha maji kabla pressure
haijafikia kiwango cha kufungua mfuniko kwenda
kweny expansion tank na hivyo kusababisha maji
kuisha kwenye radiator.
Naamini na wengine wataongezea.
Baada ya kuchonga (resurfacing) head gasket, ulifanya any pessure test kwenye hiyo cylinder head kuangalia kama kuna leakage kwenye hizo valves?Kuna gari kilikuu tata piston 2 inachemsha nimechek mfumo wa upozaji uko sawa nimechonga head na nimebadirisha gasket nimeweka namba2 bado inachemsha pump iko sawa timing iko sawa gari inawaka vizuri nipe mawazo yenu tatizo ni nini had bado inachemsha iyo engine ni overhead cam shaft
Badili camshaft position sensorMkuu mimi gari yangu inatabia ya kujizima kwenye foleni,au ikiwa silencer,nimejaribu kupandisha silnce lkn bado tatizo lipo?service naw kila kitu kipo vizuri,tatizo nini?
Badili mfuniko wa rejetor huo ndio unakuletea tatizoSamahan bro. .gari yangu voxy ghafla imeanza kupunguza maji ingawa nikidogo kila asubuhi yanaenda kwenye reseve bottle. Tatizo nini. Pia ikifika spidi 100 alaf ukaachia mafuta ikifka 80 inakuwa inakatakata mafuta na siyo misi
Mimi gari ya ngu inatoamaji kwenye injini Kuja kwenye kitenk Cha reserve. Shida nini. Msaada.Imejitoshereza kabisa