Naomba kujua sababu ya gari kuchemsha (overheat)

Naomba kujua sababu ya gari kuchemsha (overheat)

Kuna mambo mengi ya kugundua kwamba gari yako inakula mafuta kuzid kiwango cha kawaida


Gar ni lazima ile mafuta ila ikila mafuta halafu ikawa haina nguvu au inatoa moshi mwingi hiyo ni dalili ya gari yako kushindwa kuyatumia mafuta kwa usahihi....kiwango cha hewa kinachoingia kwenye cylinder ni lazima kiwe na uwiano sawa na mafuta

Mafuta yanatakiwa yaingie yakiwa kama vumbi(sio lazma uelewe hii concept) wakati wa combustion, kuna wakati inatokea mafuta yanaingia yakiwa katika hali ya kimiminika jambo ambalo hutokana na akusinyaa kwa spring za ejection pump hali ambayo hupelekea mafuta kuingia mengi zaid na mafuta yakiingia kwenye cylinder huwa hayarudi huwa yanaunguzwa so hicho kitendo kikifanyika kwa muda mrefu ndio utasema gari yako inakula mafuta mengi


Hiyo ni moja ya sababu nyingi za gar kunywa mafuta

Note nmeelezea kwa lugha ya kawaida ili kila mtu aelewe kama mtahitaji niende indeep nahis wataelewa wachache tu
Nimeelewa,asante
Nisaidie,hivi gari kudondosha matone ya maji kutoka kwenye bomba la eksos,prs uwashapo gari asubui, ni dalili za ubovu au ni kwaida,gari yangu ni noa,asante
 
Maji (coolant) yana kazi kupoza engine, maji hupita kwenye ways zake mfano kwenye cylinder holes au liners huwa kuna water jackets...
Oil hupoza engine kwa kiwango kidogo sana..

Ulichosema ni sahihi kabisa.
 
Niliwahi
Nashukuru sana eng.,ni sahihi kuongeza maji ya uhai, badala ya kulant(kuchanganya kulant na maji)? Gar yangu ni noA
Nilikuwa naona ubahiri kuweka coolant.matokeo yake hicho wanachoita themostart ina kitu kama spring zikapata kutu na kujam kabisa.cylinder head gaskate zikaungua zikaungua hivyo kusababisha cylinderhead kupinda.wakaniambia inaweza kunyoshwa.wakajaribu waaapi.

So ninachotaka kushauri hapa tuingie gharama tu kuweka coolant.mimi siyo fundi ila kama wame overhaul halafu ndiyo tatizo likajotokeza inawezekana wakati wa kuweka maji ndani kulikuwa na presure hivyo maji ndani hatajaingia.pili hicho alichosema huyo mtaalamu hapo juu cha timing chain kusetiwa vibaya.fundi angalie kitu kimoja kimoja kinachohusiana na heat control kwenye gari.

Otherwise wape mafundi muda wa kutosha kulichunguza gali lako.pia wakishindwa tafuta geriji nyingine.maana mafundi magari ni kama madaktari.wanaziadiana uwezo.ila huwa hawasemi kwamba wameshindwa
 
Samahan bro. .gari yangu voxy ghafla imeanza kupunguza maji ingawa nikidogo kila asubuhi yanaenda kwenye reseve bottle. Tatizo nini. Pia ikifika spidi 100 alaf ukaachia mafuta ikifka 80 inakuwa inakatakata mafuta na siyo misi
unaskia harufu ya mvuke? yaani unavuta hewa yenye unyevunyevu ukiwa karbu na chombo chako.....kama jibu ni ndio basi ujue kuna sehem inavujisha maji jambo limalopelekea kupungua kwa hayo maji
 
Itakuwa vyema, Uje na reference kabisa....
ila nisikubishie sana coz mimi ni engineer wa mitambo mikubwa na wewe ni mtaalam wa engine za kati

mara nying kwenye engine kubwa kila kitu kinakua separate kwa mfano cooling system inaweza kuwa nje kabisa ya enero la engine so nisikubishie sana
 
Unataka tubishane tu ngoja nikukumbushe kidogo

Maji au coolant inavoingia kwenye engine ili kufanya cooling hayaingii yakiwa katika hovyo hovyo

Kwanza kabisa yana pashwa joto kama yako below maximum temperature au yanapunguzwa joto kama temperature ipo juu
.
Hii ni basis ya cooling system ambayo inafanywa na thermostat.
Gari hata lipite kwenye barafu usitegemee maji au coolant ukakuta imeganda kuna heater ambazo zinayapasha hayo maji.

Note..hapo kwenye heater usiubane ubongo wako katika kufikiria nenda google search heat exchanger ili uelewe zaidi
.
Naelewa kuhusu heater ya engine block, na hii siyo magari yote yapo 'equipped'. Ni kwa magari yanayouzwa kwenye 'coldest regions' kama Alaska. Na hii unachomeka cable kutoka kwenye gari kwenda kwenye outlet ya garage (nyumbani) na ku 'heat engine block' kwa muda kabla ya kuiwasha gari. kama haupo karibu na 'electric outlet' kuwezi kufanya hivyo.

Ila usibishe ndugu, maji yanaganda yakifikia 'freezing point' majimaji yaliyoko kwenye radiator yanaganda joto la nje likifika 0°C. Na maji yakiganda yanatanuka (anomalous expansion of water). Kwahiyo raidator inaweza kupasuka pembeni (radiator nyingi zina plastic pembeni) kama maji yakiganda, ndiyo maana kwenye nchi za baridi coolant inashauriwa wakati wa winter.

Hahahahaha nakumbuka wakati naanza chuo ndo nilikua nafikiria kwamba maji yanapooza engine moja kwa moja ila baada yakuchimba madude library nilijiona mjinga sana
.
Hii inategemea na engine design, kwa upande wa magari (4 stroke engine), 'coolant' hutumika zaidi (effectively) kupoza , ndiyo maana wakaiita COOL-ant (kipozeo), inayozungukakwenye 'waterjackets'. Hizi huwa zinajaa maji wakati wote ili 'ku transfer excess heat' (moja kwa moja) kutoka kwenye block kwenda kwenye maji.

Oil kazi yake kubwa ni kulainisha 'rod bearings' na 'crankshaft' kwasababu hapa ndo kuna 'maximum turning effect (torque)'. Ndiyo maana kama oil ni kidogo sana, utaanza kusikia 'rod knock'. Pia oil inalainisha 'camshaft' na lifters' kwenye 'cylinder head'.

Oil ni 'viscous' kuliko maji, haiwezi ika 'tranfer heat efficiently' kama maji.

Oil kweli inaweza inapoza engine lakini siyo kiivyo, njia inayopita oil ndani ya engine ni nyembamba kwahiyo ufanisi wake wa kupoza ni mdogo.

kuna magari yenye 'oil cooler', hii yanasaidia kupoza oil kwa kuitoa nje ya engine na kuipoza kwa 'heat exchanger' aidha kwa kutumia upepo (mbele ya gari) au kwa kutumia 'coolant' na kuirudisha kwenye engine ikiwa imepoa. kawaida hii ni kwa 'performance vehicles' (BMW) ambazo zina 'run at high temperatures' (105°C). Oil ikiwa kwenye joto kali huanza kupungua uwezo wake wa kulainisha (viscosity decrease with temperature).

Kwahiyo upozwaji wa oil siyo kwaajili ya kupoze engine bali kuhakikisha oil ina-'maintain it's molecular structure'.
 
unaskia harufu ya mvuke? yaani unavuta hewa yenye unyevunyevu ukiwa karbu na chombo chako.....kama jibu ni ndio basi ujue kuna sehem inavujisha maji jambo limalopelekea kupungua kwa hayo maji
Hapana siskii harufu ya mvuke. .vp na lile tatizo la kukata kata kama inakabwa vile
 
Hapana siskii harufu ya mvuke. .vp na lile tatizo la kukata kata kama inakabwa vile
Ikitokea hewa imeingia kwenye pipe au pump huwa inaleta shida kama hiyo na mda mwingine inazima kabisa



Naomba hili liwe jibu la mwisho. Sitomjibu tena mtu coz naona kuna watu wanajiona wao ndo wajuaji wanakosoa tu hawajui wanaemkosoa ana uelewa gani juu ya hcho kitu wao wanakurupuka tu kutukana wenzao.....elimu ya mashine ni pana sana huwezi kuwa fit kwa kila jambo

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia yeye amecheza na engine tangu akiwa mdogo mpaka anazeeka lakin still anajua kuna vitu vipya ambayo havijui

Hili povu sio lako sambasha ila ni kwa wale wanaojifanya wapo vizuri kwa kitu kimoja wakati kuna vtu vipya kila kukicha
 
Ikitokea hewa imeingia kwenye pipe au pump huwa inaleta shida kama hiyo na mda mwingine inazima kabisa



Naomba hili liwe jibu la mwisho. Sitomjibu tena mtu coz naona kuna watu wanajiona wao ndo wajuaji wanakosoa tu hawajui wanaemkosoa ana uelewa gani juu ya hcho kitu wao wanakurupuka tu kutukana wenzao.....elimu ya mashine ni pana sana huwezi kuwa fit kwa kila jambo

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia yeye amecheza na engine tangu akiwa mdogo mpaka anazeeka lakin still anajua kuna vitu vipya ambayo havijui

Hili povu sio lako sambasha ila ni kwa wale wanaojifanya wapo vizuri kwa kitu kimoja wakati kuna vtu vipya kila kukicha
Sawa mkuu ila watu wanashindwa kutofautisha uzoefu na utaalamu
 
Niliwahi

Nilikuwa naona ubahiri kuweka coolant.matokeo yake hicho wanachoita themostart ina kitu kama spring zikapata kutu na kujam kabisa.cylinder head gaskate zikaungua zikaungua hivyo kusababisha cylinderhead kupinda.wakaniambia inaweza kunyoshwa.wakajaribu waaapi.

So ninachotaka kushauri hapa tuingie gharama tu kuweka coolant.mimi siyo fundi ila kama wame overhaul halafu ndiyo tatizo likajotokeza inawezekana wakati wa kuweka maji ndani kulikuwa na presure hivyo maji ndani hatajaingia.pili hicho alichosema huyo mtaalamu hapo juu cha timing chain kusetiwa vibaya.fundi angalie kitu kimoja kimoja kinachohusiana na heat control kwenye gari.

Otherwise wape mafundi muda wa kutosha kulichunguza gali lako.pia wakishindwa tafuta geriji nyingine.maana mafundi magari ni kama madaktari.wanaziadiana uwezo.ila huwa hawasemi kwamba wameshindwa
Themostart kwa mikoa yenye joto bora kuitoa kabisa
 
Unataka tubishane tu ngoja nikukumbushe kidogo

Maji au coolant inavoingia kwenye engine ili kufanya cooling hayaingii yakiwa katika hovyo hovyo

Kwanza kabisa yana pashwa joto kama yako below maximum temperature au yanapunguzwa joto kama temperature ipo juu

Jibu la swali lako

Gari hata lipite kwenye barafu usitegemee maji au coolant ukakuta imeganda kuna heater ambazo zinayapasha hayo maji

Note..hapo kwenye heater usiubane ubongo wako katika kufikiria nenda google search heat exchanger ili uelewe zaidi
Mkuu je VP km gari nimeipaki Kwa wiki nzima na radiator INA maji badala ya coolant, na nchi INA baridi Kali sana .....mathalan -4 au -5 mfano,maji hayawez kuwa yameganda wakati nataka kuiwasha?,...na je Kwa case hiyo hiyo lkn radiator ikawa na coolant inaweza pia kuwa imeganda?.....na IPI solution endapo itatokea kuwa hivyo?,....naweza kuiwasha tu ikajipatia joto yenyewe na kuyeyusha mibarafu iloganga humo Kwa engine?
 
Kuna mambo mengi ya kugundua kwamba gari yako inakula mafuta kuzid kiwango cha kawaida


Gar ni lazima ile mafuta ila ikila mafuta halafu ikawa haina nguvu au inatoa moshi mwingi hiyo ni dalili ya gari yako kushindwa kuyatumia mafuta kwa usahihi....kiwango cha hewa kinachoingia kwenye cylinder ni lazima kiwe na uwiano sawa na mafuta

Mafuta yanatakiwa yaingie yakiwa kama vumbi(sio lazma uelewe hii concept) wakati wa combustion, kuna wakati inatokea mafuta yanaingia yakiwa katika hali ya kimiminika jambo ambalo hutokana na akusinyaa kwa spring za ejection pump hali ambayo hupelekea mafuta kuingia mengi zaid na mafuta yakiingia kwenye cylinder huwa hayarudi huwa yanaunguzwa so hicho kitendo kikifanyika kwa muda mrefu ndio utasema gari yako inakula mafuta mengi


Hiyo ni moja ya sababu nyingi za gar kunywa mafuta

Note nmeelezea kwa lugha ya kawaida ili kila mtu aelewe kama mtahitaji niende indeep nahis wataelewa wachache tu
Mkuu kuna gari nataka kuinunu,engine ni petrol 2rz,...je ni kipi kinachoweza kunisaidia Kwa haraka haraka kuwa engine haina tatizo kubwa?,...ninapokanyaga mafuta resi kubwa inatakiwa itoe mvuke tu au mvuke na Moshi kidogo?
 
Viswift vina tatizo sana la kuchemka....kama kuna Fundi mtaalam wa swift nichek DM plz
 
Themostart kwa mikoa yenye joto bora kuitoa kabisa
Ndugu usithubutu kutoa thermostat, siku atakapoendesha umbali mrefu ndo utajua umuhimu wake. Hata huko uarabuni kwenye joto kali zaidi ya Africa, hawatoi hizo kitu.
 
Mkuu je VP km gari nimeipaki Kwa wiki nzima na radiator INA maji badala ya coolant, na nchi INA baridi Kali sana .....mathalan -4 au -5 mfano,maji hayawez kuwa yameganda wakati nataka kuiwasha?,...na je Kwa case hiyo hiyo lkn radiator ikawa na coolant inaweza pia kuwa imeganda?.....na IPI solution endapo itatokea kuwa hivyo?,....naweza kuiwasha tu ikajipatia joto yenyewe na kuyeyusha mibarafu iloganga humo Kwa engine?
Chombo cha moto kabla ya kukiwasha unaswitch on kwanza kabla ya kustart engine hiyo husaidia kuipasha engine

Uwezo wakuganda kati ya maji na coolant hutofautiana maji huwai kuganda ukilinganisha na coolant

I hope utakua umenipata vizuri hapo
 
Mkuu kuna gari nataka kuinunu,engine ni petrol 2rz,...je ni kipi kinachoweza kunisaidia Kwa haraka haraka kuwa engine haina tatizo kubwa?,...ninapokanyaga mafuta resi kubwa inatakiwa itoe mvuke tu au mvuke na Moshi kidogo?
Engine yoyote ikikaa mida mrefu bila kuwashwa au ikitoka kufanyiwa overhaulling huwa inatoa moshi kwa muda fulani hiyo ni kutokana kiwango cha mafuta na hewa kilichowekwa kwenye cylinder wakati inazimwa hakikuweza kuchomwa..

Kwaiyo ukija kuiwasha inaweza ikatoa moshi kwa muda fulani halafu itakaa sawa

Note.... Moshi sio lazima utoke kama ule wa jikoni wa kuni ambazo hazijakauka. Unaweza ukatoka wa wastani na hiyo haimaanishi kwamba engine imechoka
 
Chombo cha moto kabla ya kukiwasha unaswitch on kwanza kabla ya kustart engine hiyo husaidia kuipasha engine

Uwezo wakuganda kati ya maji na coolant hutofautiana maji huwai kuganda ukilinganisha na coolant

I hope utakua umenipata vizuri hapo
Sana mkuu
 
Engine yoyote ikikaa mida mrefu bila kuwashwa au ikitoka kufanyiwa overhaulling huwa inatoa moshi kwa muda fulani hiyo ni kutokana kiwango cha mafuta na hewa kilichowekwa kwenye cylinder wakati inazimwa hakikuweza kuchomwa..

Kwaiyo ukija kuiwasha inaweza ikatoa moshi kwa muda fulani halafu itakaa sawa

Note.... Moshi sio lazima utoke kama ule wa jikoni wa kuni ambazo hazijakauka. Unaweza ukatoka wa wastani na hiyo haimaanishi kwamba engine imechoka
Thanks much boss,
 
Majibu yote hapo juu ni sahihi ila nitaongezea moja, ambalo ni kuwa na 'warped cylinder head'.

Hapo chini nimeambatanisha mchoro wa 'engine' iliyoharibika (warped cylinder head) kutokana na kuchemka (overheating).

View attachment 588801

Hili hutokea pale ambapo gari imekuwa ikichemka kwa muda mrefu sana (kutokana na sababu zilizotajwa na wenzanu hapo awali) na kusababisha 'cylinder head' kupinda. Matokeo yake maji (coolant) kuingia kwenye chemba na kuunguzwa na kusababisha mvuke mweupe.

kama kila ukiongeza maji kwenye 'cooling system' (radiator or expansion tank) na maji kupotea 'kimazingara' bila ya kujua yanapokwenda basi cylinder head imepinda. Na kadri 'engine' inapozunguka ndipo maji yanapojipenyeza kwenye chema na kuunguzwa. Hii hufanya engine kuzidi kuchemka, kwa kukosa maji ya kuipoza.

Tatizo hili unabidi ulitatue haraka (by removing and resurfacing heads) kwasababu siku moja gari itashindwa kuwaka kabisa kutokana na kupoteza 'compression'.

Hii chini ni 'cylinder head' niliyoitoa kwenye gari iliyokuwa ikichemka, nikiipina kwa kutumia rula (straight edge) kuangalia jinsi ilivyopinda . Utaona kichuma (feeler gauge) kikipenya chini ya rula kuonesha kuwa hii 'cylinder head' imepinda sana.

View attachment 588802

.
Huu ni mchoro wa 'Engine' ambayo haina matatizo ya kuchemsha.

View attachment 588805

Na hii ndiyo 'cylinder head' nzuri utaona kachuma (feeler gauge) hakawezi penya katikati ya 'cylinder head' na rula (straight edge).

View attachment 588810
Mkuu kuhusu hedi mpk kutoa moshi ndio exactly nilioexpirians hadi leo najaza maji tu na kuchapa mwendo naomba unielewshe solution ipoje na garama kwa makisio bcs sina uelewa kuhusu magari . Nitashkuru sm ukinijibu.
 
Back
Top Bottom