naomba kujua tofauti ya PEP na ARVs

naomba kujua tofauti ya PEP na ARVs

mbuyake

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
293
Reaction score
510
habari humu jukwaani,juzi niimenda kituo frani cha afya kuomba nipewe dawa ya PEp kutokana na mazingira hatarishi ya afya nilliowaeleza ,nikapimwa afya nikapewa dawa imeandikwa F67 je hii ndio PEp halisi au Ni ARVs?
 
PEP inasimama baada ya Post Exposure Prophylaxis , yaani unajikinga kutokana na janga lilikokupata licha ya kutokuwa na uhakika wa kuwa umeambukizwa.

ARV ni Antiretroviral ni dawa inayotumika kufubaza virusi vya ukimwi

Hivyo PEP ni dawa katika kundi la ARV ila sio kila ARV ni inaweza kutumika kama PEP.

Dawa uliyopewa wewe kwa code hiyo ni Tenofovir , Lamivudine & Dolutrgravir hivyo wewe umepewa PEP ambayo ni ARV pia utatakiwa kutumia halafu ufanye vipimo tena.

Kama unahitaji uhakika zaidi unaweza kufanya PCR [sijui kwa Tanzania kama ipo vituo vyote hata ngazi ya chini].
 
PEP inasimama baada ya Post Exposure Prophylaxis , yaani unajikinga kutokana na janga lilikokupata licha ya kutokuwa na uhakika wa kuwa umeambukizwa.

ARV ni Antiretroviral ni dawa inayotumika kufubaza virusi vya ukimwi

Hivyo PEP ni dawa katika kundi la ARV ila sio kila ARV ni inaweza kutumika kama PEP.

Dawa uliyopewa wewe kwa code hiyo ni Tenofovir , Lamivudine & Dolutrgravir hivyo wewe umepewa PEP ambayo ni ARV pia utatakiwa kutumia halafu ufanye vipimo tena.

Kama unahitaji uhakika zaidi unaweza kufanya PCR [sijui kwa Tanzania kama ipo vituo vyote hata ngazi ya chini].
Centirifuge machine ule mtambo ni noma sana una separate everything
 
Back
Top Bottom