Naomba kujua ubora wa ujenzi wa visima au vihifadhi maji vya kwenda juu (tank la kujengwa)

Naomba kujua ubora wa ujenzi wa visima au vihifadhi maji vya kwenda juu (tank la kujengwa)

Dodoma leo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
1,336
Reaction score
1,658
Nimezunguka sehemu nyingi Hasa mikoa ya pwan naona wanajenga vihifadhi maji vya chini. Ndan ya ardhi. Sasa mimi nimeona kwangu havitanifaaa. Nataka nijenge kisima Cha kuhufadhi maji Cha juu, sio Cha ardhini chini.

Sasa nataka kujua ubora wake na nini Cha kuzibgatia Kwan nataka nitumie tofali za block za nchi 6 na nijenge kwa kulaza lkn naona haya maeneo nilipo wengi wamejenga vya ardhini.

Lakini nilibahtika kutembelea kma moshi huko wengi wanajenga vya juu ya Ardhi Jpo wanatumia mawe wengi. Na nirahis sana kwenye kuyatumia maji yaloyohifadhiwa kwa njia hii.

Kwan unateka kma bomban kawaida..sasa Niko huku pwan visima hiv sivion naona wengi wananunua matenki ya dukan au visima vya chini.

Nishaurin jaman.. kujenga kwangu naona nitaweza kuvuna maji ya mvua mengi Kwan sehemu nilipo changamoto ya maji ni kubwa. Pia kuyatumia itakuwa rahis. Ahsante.
 
Nunua sim tank lt 10000 ,likate ule mfuniko wa juu ili kuwe na uwazi utakao wezesha kuvuna maji ya mvua.

NB hii ni plan B
 
Nunua sim tank lt 10000 ,likate ule mfuniko wa juu ili kuwe na uwazi utakao wezesha kuvuna maji ya mvua.

NB hii ni plan B
Cha KujeNGa Unaweza KUhifadhi maji zaid ya hayo..pia kiulinzi kinafaa zaidi Kwan hakiwezi bebwa
 
Kujenga Chini Ama Juu Lazima Upate Fundi Anayejua Vinginevyo Maji Yatapotea Yaani Iwapo Ni Chini Yanapotea Ardhini. Juu Yanavuja Mpaka Akiba Inakwisha Yote
 
Back
Top Bottom