Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'

Sawa mkuu nimekishika nilichofundishwa na kukifata mpaka muda huu ila bado hujanipa majibu ya maswali yangu.
 
Mkuu mimi pia ndio maana leo nimevunja ukimya nikauliza labda tutapata msaada humu ndani
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi ila kama hutojali naomba unipe na hatima za watu wa kale kama kwenye maswali yangu nambari 2,3 na 4.
Shukrani
 
That is what we can prove....I like it.
 
Mkuu awali ya yote nikushukuru kunijibu maswali yangu yote lakini pili ngoja nichukue biblia nipitie hivyo vifungu kwanza halafu ndo nitakua na neno la kuhoji.
 
Pitia jukwaa la jamii intelligence,kule angalau utapata majibu kwa kiasi.

Ila usiache kuutafuta ukweli kupitia google,youtube nk

Kaanze kutafuta hii makitu reincarnation.
Shukrani kwa muongozo
 
Kilikua kiama chao, nasi tunasubir kiama chetu
Sasa Amenn kwa hiyo wale moto hautowahusu? Na vipi sasa walokufa kwa maji (enzi za nuhu) wengine kwa moto (sodoma na gomola) na vipi sisi kiama chetu na adhabu ya moto wa milele hauoni hapo kama kutakuwa hamna fair justice?
 
Kama sijakosea ulichomaanisha ni kwamba,
Kuna kiama ambacho maana yake viumbe vyote vitakufa lakini no judgement day wala life after death yani ukimaliza shughuli yako duniani basi. Au?
 
Mapepo yanakili uwepo wa Mungu, uwepo wa Yesu, uwepo wa kuzimu, uwepo wa siku ya hukumu na uwepo wa shetani.

Ndugu yangu, kuzimu kupo na siku ya hukumu hipo. Watu wataunguzwa na kuwa weusi kama mkaa vile. Na hata mapepo yenyewe yanapaogopa huko kuzimu.
 
Hv nyie mnatumia biblia tofauti au?
mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,
1wathesalonike 4:13-17, ila hasa zingatia msitali wa 16,17
--kwa sabab Bwana mwenyewa atashuka kutoka mbinguni na mwaliko mkuu, na sauti ya malaika mkuu,na parapanda ya Mungu nao walio KUFA KATIKA KRISTO WATAFUFULIWA KWANZA, kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa pamaja nao mawinguni,

ufunuo 1.7, tazama yuaja na kila jicho litamwona, nahao waliomchoma na KABILA ZOTE ZA DUNIA, wataomboleza kwa ajiri yake,

kasome pia ufufuo wa kwanza
ufunuo 20;4-6

na ufufuo wa pili
ufunuo 20:11-5
nimeshindwa kupest hyo mafungu.. ila naomba usome ukiweza yaweke hapa..

mwisho ni mji mtakatifu
ufunuo 21:1-4

mkuu ukisoma mafungu hayo kwa uwezo wa ROHO WA MUNGU, utajua kuwa kiama ni hakika, angalizo tu yapasa uwe unaiamini biblia yenye vitabu 66,

Barikiwa sana
 
Hv nyie mnatumia biblia tofauti au?
mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,
1wathesalonike 4:13-17, ila hasa zingatia msitali wa 16,17
--kwa sabab Bwana mwenyewa atashuka kutoka mbinguni na mwaliko mkuu, na sauti ya malaika mkuu,na parapanda ya Mungu nao walio KUFA KATIKA KRISTO WATAFUFULIWA KWANZA, kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa pamaja nao mawinguni,

ufunuo 1.7, tazama yuaja na kila jicho litamwona, nahao waliomchoma na KABILA ZOTE ZA DUNIA, wataomboleza kwa ajiri yake,

kasome pia ufufuo wa kwanza
ufunuo 20;4-6

na ufufuo wa pili
ufunuo 20:11-5
nimeshindwa kupest hyo mafungu.. ila naomba usome ukiweza yaweke hapa..

mwisho ni mji mtakatifu
ufunuo 21:1-4

mkuu ukisoma mafungu hayo kwa uwezo wa ROHO WA MUNGU, utajua kuwa kiama ni hakika, angalizo tu yapasa uwe unaiamini biblia yenye vitabu 66,

Barikiwa sana
 
Kama sijakosea ulichomaanisha ni kwamba,
Kuna kiama ambacho maana yake viumbe vyote vitakufa lakini no judgement day wala life after death yani ukimaliza shughuli yako duniani basi. Au?
yes mkuu ukifa ndo habari yako inaashia hapo utabakia kuwa tu kama fossils after million and million of years.

Unaweza kuja kutumika hata kama coal hapo baadaye. Lakini kinachokua kimekufa ni cells na your consciousness lakini atoms ambazo zimeutengeneza mwili wako zitaendelea kuwepo for the next billions and billions years labda had mwisho wa universe ambao we call it the big crunch.
 
Niweke nguvu wapi sasa mkuu?
Mungu aliyekuumba ndiye anafahamu mahitaji yako. Kidogo unachopata saidia wasiojiweza,achana na mambo ya kidunia waheshimu na wasaidie wazazi wako over.
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi ila kama hutojali naomba unipe na hatima za watu wa kale kama kwenye maswali yangu nambari 2,3 na 4.
Shukrani
pitia 1wathesalonike 4;13-17
utapata majib mkuu.. yapo wazi kabisa.
2petro 3:3-7
mkijua kwanza neno hili ya kwamba watakuja na dhihaka zao,watu wenye kudhihaki,wafuatao tamaa zao wenyewe, na kusema ipo wapi ahadi ile ya kuja kwake?kwa maana tangu hapo babu zetu walipolala vitu vyote vinakaa hali hyo hyo tangu mwanzo wa kuumbwa, maana hufumba macho yao wasione kuwa tangu mwanzo zilikuwepo mbingu tangu zamani na nchi pia imefanywa kutoka ktk maji kwa neno la Mungu...

kwa hyo Dunia ile ya mwanzo, ilighalikishwa kwa maji ikaangamia lakini mbingu za sasa na nchi zimewekwa akiba kwa moto kwa neno LILO HILO ZIKILINDWA HATA SIKU YA HUKUMU NA YAKUANGAMIA KWAO WANADAMU WASIO MCHA MUNGU..
 
THERE IS NO GOD,ENJOY YOUR LIFE TO THE MAXIMUM! BE HAPPY

Karibu katika ulimwengu huru

...........Free ideas.......
 

Kwann unipe limit ya kutumia biblia ya vitabu 66.? Kwann nisitumie bibilia inayozidi vtabu zaid ya 66? Wap yesu au mungu amemrisha bibilia inayopaswa kutumika n vitabu 66?
 
Hakuna kiama mkuu, hizo ni hadithi za kiama ni kama zile movie za fiction za Hollywood. Kama huamini mtafute Kiranga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…