Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 953
- 1,304
- Thread starter
-
- #21
Sawa mkuu nimekishika nilichofundishwa na kukifata mpaka muda huu ila bado hujanipa majibu ya maswali yangu.hukumu(kiama) ya mwanadamu inaanza mara tu baada ya mtu kufa. aliyetubu dhambi na kupatana na Mungu atapelekwa Mbinguni na asiyetubu ataenda motoni. wale wa zamani walioangamizwa sio kwamba ni waovu zaidi yetu bali ni matashi ya Mungu kuchagua njia ya kutunyoosha viumbe wake. ulichofundishwa ktk imani yako ni kweli kabisa, kishike. tenda mema acha mabaya. penda kutubu kila unapomkosea Mungu.
Mkuu mimi pia ndio maana leo nimevunja ukimya nikauliza labda tutapata msaada humu ndaniHaya mambo ya kiroho kwa kiasi kikubwa yana utata sana. Tunaambiwa mtu yaani nafsi anapatikana kutokana na muunganiko wa mwili na roho (pumzi ya uhai) na kwamba mtu huyo anapokufa mwili uoza lakini roho ubaki ikisubiri siku ya kiama. Sasa swali ni kwamba kama kiama kinaanza muda au siku ile mtu anapokufa iweje adhabu iwe ni kwa roho tu na siyo kwa mwili pia wakati kipindi cha kutenda dhambi vilikuwa pamoja?
Na kama mateso yanaanza mara moja baada ya mtu kufa basi ni dhahiri kwamba wale wenzetu waliofariki karne nyingi zilizopita hadi siku ya kiama itakapofika watakuwa wamepata mateso makubwa zaidi (ya muda mrefu) kuliko wale watakao wamekufa miaka michache (mfano mwaka mmoja, miwili kumi n.k.) kabla ya hiyo siku ya kiama. Na kama wakianza kutumikia adhabu zao baada ya kiama hao waliokufa na kupata mateso karne nyingi zilizopita kuliko wengine watapunguziwa adhabu au la?!
Kingine mtu anazaliwa na kudumu duniani kwa dakika, masaa, siku au miaka michache tu lakini siku ya kiama anakuja kutumikia adhabu jehanamu milele! Daah...mimi hata sielewi bana.
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi ila kama hutojali naomba unipe na hatima za watu wa kale kama kwenye maswali yangu nambari 2,3 na 4.Kwakuwa umeuliza kwa imani zote nami nisemi kidogo. Katika uisilam kiama ni siku ngumu kuliko ugumu wowote ambao mwanadamu anaweza waza. Ni siku ya hukumu. Kabla ya kusimama kiama ni wazi kuwa viumbe wote watakafu(wakiwemo maaika wote mpaka mtoa roho-Izraeli).
Kisha watu watafufuliwa kutoka katika matumbo ya ardhi wakiwa katika hali tofauti tofauti.kulingana na matendo yao. Hata hivyo bado siku hiyo itakuwa ngumu sana isipokuwa tu kwa wale waliridhiwa na mola wao.
Hapo ndipo watu watahukumiwa kwa matendo yao. Kuna mchakato mrefu.sana siku hiyo. Hakuna kujuana hapo baba hatamjua mwana wala mwana hatamjua mama. Kila mtu nafsi yake itakuwa imeshughulishwa na mambo yake. Kisha watu watahukumiwa kwa kuulizwa juu ya.yale waloyatenda. Na pindi watakapo danganya,itafungwa midomo yao kisha kila kiungo kipekee kitatoa ushahidi wa kila ulichokifanya.
Kwa wale wanodhani ukifa ndio kiama chako,hakika hawapo sahihi hata.kidogo. Kufa ni katika kitendo cha kufika.mwisho.wa dumia.na mwanzo wa akhera. Kaburi watu watu wataanza kukutana na kheri zao ama shari zao kulingana na matendo yao. Hapo ni adhabu kwa makosa hadi itakapo fika kiama. Na adhanu hii haipunguzi.adhabu atakayoipata mwanadamu siku ya kiama baada ya kuhukumiwa.
Hakika kiama ni siku nzito na tunamuomba Molla wetu atufishe.ili hali yu radhi na sisi ili tuweze kuongoka adhabu zake. Amin.
That is what we can prove....I like it.all livings things hapa dunian vimeshapitia kihama in a sense of exntiction the major one ilikua the permian exntiction ambayo ilitokea almost miaka milioni 250 iliyopita na almost 96% of species were wiped out.
Kihama cha all mankind katika karne yetu kinaweza kusababishwa na either kimondo chenye ukubwa kuipiga dunia, au vita ya nuclear katika ya nchi kubwa au ugonjwa wowote wa mlipuko unaosababishwa na super virus au bacteria.
Pia kuharibu ozone layer kutokana na uchafuzi wa mazingira kunaweza kuchangia kuleta kihama kwetu binadamu na all land animals. Bila ozone layer ambayo imechukua zaidi ya miaka milioni 120 kutengenezwa kutokana na oxygen ilikuwa inatoka baharini na kufanya chemical reaction na sunrays maisha ya viumbe hai ardhini yasingewezekana kwasababu ya dangerous radiation kutoka kwenye jua.
Lakini kiama cha dunia kama dunia ni almost miaka billion moja ijayo in which jua litakua limetumia hydrogen yake vya kutosha na likisha'exhaust elements zote kama fuel then litapanuka kwa ukubwa in which dunia inaweza kuwa swallowed na gravity ya jua.
Mkuu awali ya yote nikushukuru kunijibu maswali yangu yote lakini pili ngoja nichukue biblia nipitie hivyo vifungu kwanza halafu ndo nitakua na neno la kuhoji.majibu ya maswali yako kwa upande wa ukirsto iko hivi ,moja ni kweli siku ya kiama ipo na kwenye biblia inafahamika kama siku ya hukumu soma biblia matahyo 24:14 "tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja"pia siku hii kibiblia inafahamika kama har-magedon soma ufunuo 16:14-16.
majibu ya swali la pili kuhusu kwanini Mungu aliwaangamiza wanadamu wa kipindi cha kwanza bila kusubiri siku ya kiama , ni kweli Mungu aliwangamiza wanadamu hawa bila kusubiri siku ya kiama ilikuwa ni kwa sababu Mungu alitoa agizo kwa wanadamu hawa juu ya nini wanawapaswa kufanya na nini hawapaswi kufanya lakini wanadamu hawa walishindwa kutii agizo hili soma Mwanzo 3:1-4 basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, msile matunda yote ya miti ya bustani? mwanamke akamwambia nyoka matunda ya miti ya bustani twaweza kula lakini matunda ya mti wa katikati ya bustani Mungu amesema msiyale wala msiyaguse msije mkafa ......
majibu ya swali la tatu , sikweli kwamba wanadamu wa Enzi hizo walikuwa na dhambi nyingi kuliko sisi bali wanadamu wa sasa na wakipindi hicho wanafanana kwa matendo na dhambi kinacho wasaidia wanadamu wa sasa ni ule upendo wa Mungu kuelekea ulimwengu huu kupitia damu ya mwanaye Yesu kristo ambapo Mungu aliupenda ulimwengu huu tena soma yohana 3;16
Majibu ya swali la nne kuhusu wanadamu wa Enzi hizo watafufuliwa ili kuhukumiwa ni kweli watafufuliwa tena na kuhukumiwa hukumu ya haki ukiacha ya kipindi kile amabayo iliwakumba hata ambao hawakuwa na makosa au dhambi soma 2petro 4-9
Shukrani kwa muongozoPitia jukwaa la jamii intelligence,kule angalau utapata majibu kwa kiasi.
Ila usiache kuutafuta ukweli kupitia google,youtube nk
Kaanze kutafuta hii makitu reincarnation.
Mkuu ungejikita kunipa majibu ya maswali yangu ingekua jambo la mbolea kuliko kumshambulia jamaaMaelezo mengi alafu yote pumu
Niweke nguvu wapi sasa mkuu?Usipoteze muda na dini hizo si ukiristu wala uislamu wote useless tu
Kama sijakosea ulichomaanisha ni kwamba,all livings things hapa dunian vimeshapitia kihama in a sense of exntiction the major one ilikua the permian exntiction ambayo ilitokea almost miaka milioni 250 iliyopita na almost 96% of species were wiped out.
Kihama cha all mankind katika karne yetu kinaweza kusababishwa na either kimondo chenye ukubwa kuipiga dunia, au vita ya nuclear katika ya nchi kubwa au ugonjwa wowote wa mlipuko unaosababishwa na super virus au bacteria.
Pia kuharibu ozone layer kutokana na uchafuzi wa mazingira kunaweza kuchangia kuleta kihama kwetu binadamu na all land animals. Bila ozone layer ambayo imechukua zaidi ya miaka milioni 120 kutengenezwa kutokana na oxygen ilikuwa inatoka baharini na kufanya chemical reaction na sunrays maisha ya viumbe hai ardhini yasingewezekana kwasababu ya dangerous radiation kutoka kwenye jua.
Lakini kiama cha dunia kama dunia ni almost miaka billion moja ijayo in which jua litakua limetumia hydrogen yake vya kutosha na likisha'exhaust elements zote kama fuel then litapanuka kwa ukubwa in which dunia inaweza kuwa swallowed na gravity ya jua.
mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,Hv nyie mnatumia biblia tofauti au?
mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,Hv nyie mnatumia biblia tofauti au?
yes mkuu ukifa ndo habari yako inaashia hapo utabakia kuwa tu kama fossils after million and million of years.Kama sijakosea ulichomaanisha ni kwamba,
Kuna kiama ambacho maana yake viumbe vyote vitakufa lakini no judgement day wala life after death yani ukimaliza shughuli yako duniani basi. Au?
Mungu aliyekuumba ndiye anafahamu mahitaji yako. Kidogo unachopata saidia wasiojiweza,achana na mambo ya kidunia waheshimu na wasaidie wazazi wako over.Niweke nguvu wapi sasa mkuu?
pitia 1wathesalonike 4;13-17Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi ila kama hutojali naomba unipe na hatima za watu wa kale kama kwenye maswali yangu nambari 2,3 na 4.
Shukrani
pitia hapo juu mkuu nimeweka kwenye bandiko langu yakutosha kabisasi
mkuu leta vifungu angalau kuuthibitisha ukweli huu
mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,
1wathesalonike 4:13-17, ila hasa zingatia msitali wa 16,17
--kwa sabab Bwana mwenyewa atashuka kutoka mbinguni na mwaliko mkuu, na sauti ya malaika mkuu,na parapanda ya Mungu nao walio KUFA KATIKA KRISTO WATAFUFULIWA KWANZA, kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa pamaja nao mawinguni,
ufunuo 1.7, tazama yuaja na kila jicho litamwona, nahao waliomchoma na KABILA ZOTE ZA DUNIA, wataomboleza kwa ajiri yake,
kasome pia ufufuo wa kwanza
ufunuo 20;4-6
na ufufuo wa pili
ufunuo 20:11-5
nimeshindwa kupest hyo mafungu.. ila naomba usome ukiweza yaweke hapa..
mwisho ni mji mtakatifu
ufunuo 21:1-4
mkuu ukisoma mafungu hayo kwa uwezo wa ROHO WA MUNGU, utajua kuwa kiama ni hakika, angalizo tu yapasa uwe unaiamini biblia yenye vitabu 66,
Barikiwa sana