mkuu kwa kuwa umekuwa na mashaka pitia mafungu yafuatayo,
1wathesalonike 4:13-17, ila hasa zingatia msitali wa 16,17
--kwa sabab Bwana mwenyewa atashuka kutoka mbinguni na mwaliko mkuu, na sauti ya malaika mkuu,na parapanda ya Mungu nao walio KUFA KATIKA KRISTO WATAFUFULIWA KWANZA, kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa pamaja nao mawinguni,
ufunuo 1.7, tazama yuaja na kila jicho litamwona, nahao waliomchoma na KABILA ZOTE ZA DUNIA, wataomboleza kwa ajiri yake,
kasome pia ufufuo wa kwanza
ufunuo 20;4-6
na ufufuo wa pili
ufunuo 20:11-5
nimeshindwa kupest hyo mafungu.. ila naomba usome ukiweza yaweke hapa..
mwisho ni mji mtakatifu
ufunuo 21:1-4
mkuu ukisoma mafungu hayo kwa uwezo wa ROHO WA MUNGU, utajua kuwa kiama ni hakika, angalizo tu yapasa uwe unaiamini biblia yenye vitabu 66,
Barikiwa sana