Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'



Hivi huyu Kiama ana undugu na yule changudoa wa bongo movie (Esther Kiama)?
 
Hata hizo imani unazoziponda hapa haziruhusu kuua kama watu wengine wanafanya.
 
Usipende kuzungumza usichokuwa na elimu nacho ni hatari sana
 
Ndio maana nasema vitabu vya dini vinajichanganya. Ukitafakari kwa undani unaona kuwa haya mambo ya dini ni stories za kutunga tu, hazina uhalisia wowote. Hakuna mambo ya kiama. Ni kutishana tu ili watu wawe na amani. Sisi wakatoliki tulikuwa tunaambiwa kuwa kabla ya kupokea mwili wa Bwana lazima ipite angalau saa moja bila kuweka chochote mdomoni. Reason: Waafrika walikuwa hawana utamaduni wa kupiga mswaki, hivyo ukiruhusu watu wale muda huo , padre anapokukomunisha kinywani kutakuwa kumejaa vyakula na hivyo itakuwa kumpumulia harufu mbaya! Lakini tuliambiwa kuwa ni dhambi ukila one hour within communion. Sijui dhambi hiyo iliishia wapi sasa
 

Ni wendawazimu kukataa kwamba ulimwengu ulitokea out of nothing halafu hapo hapo ukaamini kuwa eti mungu alitokea tu!.Think big!

Karibu katika ulimwengu huru!
..........Free ideas.......
 
Ni wendawazimu kukataa kwamba ulimwengu ulitokea out of nothing halafu hapo hapo ukaamini kuwa eti mungu alitokea tu!.Think big!

Karibu katika ulimwengu huru!
..........Free ideas.......
Samahani mkuu, hili LA ulimwengu kutokea "out of nothing" unalithibitisha vipi?
 

Well written. Mashallah
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi pindi tuifkiapo siku hiyo
 
Samahani mkuu, hili LA ulimwengu kutokea "out of nothing" unalithibitisha vipi?

Kila kitu kiko wazi sayansi inaeleza hatua zote labda ni uvivu wa kusoma tu!
............free ideas.....
 
hahaa nawewe unaamoni ujinga ulioandika
 
Ni wendawazimu kukataa kwamba ulimwengu ulitokea out of nothing halafu hapo hapo ukaamini kuwa eti mungu alitokea tu!.Think big!

Karibu katika ulimwengu huru!
..........Free ideas.......
Huo ndio uwendawazimu wa wanaoamini katika ulimwengu huru. Sheria za ulimwengu huru kazitunga nani? Zimejitunga zenyewe?

Unaelewa Mungu ni nani?
Unaelewa dhana ya " space, time and matter" na uhusiano wake na ulimwengu huru?

Jitumbue majipu ili uingie katika ulimwengu huru. Wewe hutakiwi kufikiri kabisa!

 
safi sana mkuu umepiga ya kichwa,huo ulimwengu huru unatokea tu bila kua created.
 

Kabla hujauliza iweje ulimwengu utokee tu,tafakari iweje mungu(kama yupo)atokee tu.!

Najua mungu ni Idea tu
Space time and matter nazijua labla wewe ndo huzijui!

Karibu katika ulimwengu huru
.........Free ideas.....
 
Kabla hujauliza iweje ulimwengu utokee tu,tafakari iweje mungu(kama yupo)atokee tu.!

Najua mungu ni Idea tu
Space time and matter nazijua labla wewe ndo huzijui!

Karibu katika ulimwengu huru
.........Free ideas.....
Kwa hiyo kwako wewe ulimwengu huru ni Idea tu?

Unazungumzia mungu au Mungu?


 
Kabla hujauliza iweje ulimwengu utokee tu,tafakari iweje mungu(kama yupo)atokee tu.!

Najua mungu ni Idea tu
Space time and matter nazijua labla wewe ndo huzijui!

Karibu katika ulimwengu huru
.........Free ideas.....
Free ideas
Unaye mama/baba? Baba yako anaye baba?
Unaamini Babu ya mababu zako alikuwa ni nyani au binadamu/mtu?
 
Kabla hujauliza iweje ulimwengu utokee tu,tafakari iweje mungu(kama yupo)atokee tu.!

Najua mungu ni Idea tu
Space time and matter nazijua labla wewe ndo huzijui!

Karibu katika ulimwengu huru
.........Free ideas.....
Ulimwengu huru ni Idea tu?

 
Kweli umepiga domo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…