Naomba kujua ukweli wa mishahara ya BRELA

Mkuu waambie hii mods wai move kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko.

Paw
 
Huku njoo baada ya kupata kazi BRELA. Utashauriwa wapi na jinsi gani ya kutumia mshahara wako. Pengine ukapata hata wa kutumia nao.
Tofauti na hapo utaambulia majibu ya shombo tu kwa sasa. Huku lete mada za kufumaniwa, kufinyiwa ndani, style mpya ya kunyanduana n.k
 
Unamjua Liverpool VPN Mzee wa "USIOE USIOE"?

#YNWA
 
Jinsi tukiwapigia wanaongea kwa hasira vile watakua wanalipwa pesa ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…