Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Yanga tumesajili beki mpya wa pembeni Boka.
Anachukua nafasi ya Lomalisa. Jana alicheza dakika 10 tu akatoka nje kwa majeraha.
Naomba kujua umri wa huyu veteran wetu mpya? Kuna hesabu napiga hapa…
Anachukua nafasi ya Lomalisa. Jana alicheza dakika 10 tu akatoka nje kwa majeraha.
Naomba kujua umri wa huyu veteran wetu mpya? Kuna hesabu napiga hapa…