Master sempaya
Member
- May 9, 2023
- 96
- 137
Ukiwa mwanachama wa bima ya afya umewaunganisha baba, mama na watoto ikatokea mume au mke mmeachana ukataka kumtoa kwenye mfumo wa bima mbona wanakata mpaka uende mahakamani uape.
Hapo vipi?
Hapo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mwanachama wa bima ya afya umewaunganisha baba, mama na watoto ikatokea mume au mke mmeachana ukataka kumtoa kwenye mfumo wa bima mbona wanakata mpaka uende mahakamani uape.
Hapo vipi?
nikaape kivp wakati napenda kujua mkuunenda mahakamani ukaape sasa
kama unataka kumtoa mtu kwenye Bima, wamekupa utaratibu huo ikiwa ni takwa la kisheria ili wathibitishe ukweli kabisa isije ukawa unamtoa kumbe ni uongo.. Sheria inakulinda wewe na wao ndio maana wanakwambia ukaapenikaape kivp wakati napenda kujua mkuu
Thank you very much, I agreekama unataka kumtoa mtu kwenye Bima, wamekupa utaratibu huo ikiwa ni takwa la kisheria ili wathibitishe ukweli kabisa isije ukawa unamtoa kumbe ni uongo.. Sheria inakulinda wewe na wao ndio maana wanakwambia ukaape
goodThank you very much, I agree
Great 👍 Mr josegood
Naomba kujua, utaratibu wa kupata kadi nyingine baada ya kadi ya mtegemezi kupotea.good
Sasa mbona umesha pewa utaratibuUkiwa mwanachama wa bima ya afya umewaunganisha baba, mama na watoto ikatokea mume au mke mmeachana ukataka kumtoa kwenye mfumo wa bima mbona wanakata mpaka uende mahakamani uape.
Hapo vipi?
Thank you very much my brothers, I love you very muchSasa mbona umesha pewa utaratibu
Tofauti na uislam Dini zingine hazina TALAKA, sasa watahakikishaje kuwa mmeachana?
Ndio sababu ukapewa huo utaratibu mbadala badala ya cheti cha talaka
Ila kama hujapata mbadala, nakushauri umuache tu aendelee kupata huduma kwani haikupunguzii chochote...
Nenda ofisi za NHIF ukachukue form Kama Ile ya mwanzo wakati unaijaza Kwa ajili ya usajili.Naomba kujua, utaratibu wa kupata kadi nyingine baada ya kadi ya mtegemezi kupotea.
Asante mwambaNenda ofisi za NHIF ukachukue form Kama Ile ya mwanzo wakati unaijaza Kwa ajili ya usajili.
Kwenye Ile form Kwa juu wameoanisha Aina ya maombi Kama ni maombi mapya, maombi ya nyongeza ya wategemezi au ni maombi ya upotevu wa Kadi.
Jaza taarifa Kwa ukamilifu Kama ulivyojaza mwanzo then Rudisha form NHIF baada ya siku tano watakutumia Control number ulipie Kwa ajili ya kadi mpya ni elfu 20 Tu.
Jitoe wewe na wao wote watatoka bila ubishiUkiwa mwanachama wa bima ya afya umewaunganisha baba, mama na watoto ikatokea mume au mke mmeachana ukataka kumtoa kwenye mfumo wa bima mbona wanakata mpaka uende mahakamani uape.
Hapo vipi?
Kenge wewe je huyo mke mwingine atapataje huduma! Tumia akili kufikiri bwege weweAlikuwa mke wako umeachana naye, akiugua inaweza isikuhusu ila watoto wako itawahusu. Muache aendelee kuitumia kwa faida ya furaha ya watoto wako
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app