Naomba kujua utaratibu wa Kumtoa Mtu kwenye Orodha ya wanufaika wa Bima ya Afya

Naomba kujua utaratibu wa Kumtoa Mtu kwenye Orodha ya wanufaika wa Bima ya Afya

Ingawa hujanitukana mimi, lakini huwa nachukia sn matusi. Mbona kaeleza bila matusi wewe umeshindwa nini kumjibu kistaarabu. Wakat mwingine tunalazimisha ban
Samahani naomba nilitoe neno kenge ila bwege libaki, vitu vingine saa nyingine vinachukiza jua hivyo jaribu kuandika kwa kutokutumia hisia na uanamke wako, wewe pia utakuwa wale "single mother"
 
Sasa utabadilisha nakuapa marangapi kama kila atakae kuvua hio chupi unataka kumweka kwenye bima nakumtoa wamwanzo
 
Nenda polisi kachukue loss report kisha nenda ofisi ya bima katika wilaya husika watakupa control no. Ya kulipia 20,000 kisha baada ya siku kadhaa utapata
Majibu ya maswali yako yote piga namba ya customer care ipo nyuma ya card ya mwanachama. Acha kutochosha humu Jf tunajadili mambo makubwa kwa mapana yake na sio person issue na uishia hapo usiulize tena
 
Mbona simple tu. Km ulivyopewa utaratibu we nenda mahakani ukaape na siyo kazi. Unapoambiwa kuapa siyo kwenda kunyanyua Biblia au Quran km Wabunge bungeni bali ni kwenda kupewa barua ya uthibitisho wa kisheria kuwa umemuacha MKEO na ni rahisi ukienda na taraka km huna pitia mlango wa uani (nadhani umenifahamu nachomaanisha) kupata hicho kiapo. Haisumbui kabisa ni wewe tu.

Km unashindwa kwenda mahakani pia ni simple tu, Kila atakapoenda kutumia hiyo kadi ya Bima lazima ujumbe utakuja kwako ukikutaka kubatilisha hiyo huduma km hiyo kadi huitambui na huwa wanaweka na namba ya kujibu hiyo sms. Hapo wewe chap una reply kuwa hauitambui hiyo kadi, then wao kule kwenye mtandao Wanaiblock. Akienda tena hospitali ataanbiwa bima yake imefungiwa maana haitambuliki kwenye mfumo. Atahangaika kuirudisha lakini atapata kazi na hata akipitia mlango wa nyuma, wewe unakuwa tu unasubiri sms, ikiingia tu kuwa katibiwa unawajibu kuwa hiyo kadi huitambui hadi ataitupa mwenyewe.

NB
Vijana msikurupuke kuwakatia bima za afya hao wake zenu harakaharaka kwa sababu za utamu wa uchi wanaowapa, ipo siku itawagharim, km wewe. Unakuta kijana anakataa kumuingiza baba au mama yake ktk bima kwa sababu ya mwanamke tena MKE kimeo ambae baada ya miaka 3 au 6 mnaachana na anaondoka na Bima yako huku wazazi wako wakiteseka na maradhi ya uzeeni.

Jifunzeni, siku zote MKE siyo ndugu yako bali ni rafiki tu wa karibu Wala hamna vinasaba hata chembe, sasa kwa nini umthamini kuliko wazazi wako. Na bado urithi unamuandikisha harakaharaka utadhani hamjawahi kuona uchi za wanawake. Kwani wakati mnazaliwa mlipita wapi. Acheni ulimbukeni. Mkikua mtaacha tu, sisi wazazi wenu tulishafika ukomo wa tamaa.
Umeongea kwa hisia kali
 
Dah itakuwa kakukera kishenzi,ila kama mna watoto naona ni busara umwache mzaz mwenzio aendelee kunufaika,mengine haya tunajipunguzia baraka ndogo ndogo.
Huu ni ushauri wa kiungwana sana nadhani mtoa mada ataingiwa na hofu ya mungu.
 
Mimi nimeachana na baby mama wangu tena yeye ndiyo kaniacha lakini nampa matumizi akiomba kama kawaida.
 
Back
Top Bottom