BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Ingawa hujanitukana mimi, lakini huwa nachukia sn matusi. Mbona kaeleza bila matusi wewe umeshindwa nini kumjibu kistaarabu. Wakat mwingine tunalazimisha banKenge wewe je huyo mke mwingine atapataje huduma! Tumia akili kufikiri bwege wewe
Samahani naomba nilitoe neno kenge ila bwege libaki, vitu vingine saa nyingine vinachukiza jua hivyo jaribu kuandika kwa kutokutumia hisia na uanamke wako, wewe pia utakuwa wale "single mother"Ingawa hujanitukana mimi, lakini huwa nachukia sn matusi. Mbona kaeleza bila matusi wewe umeshindwa nini kumjibu kistaarabu. Wakat mwingine tunalazimisha ban
Nenda polisi kachukue loss report kisha nenda ofisi ya bima katika wilaya husika watakupa control no. Ya kulipia 20,000 kisha baada ya siku kadhaa utapataNaomba kujua, utaratibu wa kupata kadi nyingine baada ya kadi ya mtegemezi kupotea.
Majibu ya maswali yako yote piga namba ya customer care ipo nyuma ya card ya mwanachama. Acha kutochosha humu Jf tunajadili mambo makubwa kwa mapana yake na sio person issue na uishia hapo usiulize tenaNenda polisi kachukue loss report kisha nenda ofisi ya bima katika wilaya husika watakupa control no. Ya kulipia 20,000 kisha baada ya siku kadhaa utapata
Umeongea kwa hisia kaliMbona simple tu. Km ulivyopewa utaratibu we nenda mahakani ukaape na siyo kazi. Unapoambiwa kuapa siyo kwenda kunyanyua Biblia au Quran km Wabunge bungeni bali ni kwenda kupewa barua ya uthibitisho wa kisheria kuwa umemuacha MKEO na ni rahisi ukienda na taraka km huna pitia mlango wa uani (nadhani umenifahamu nachomaanisha) kupata hicho kiapo. Haisumbui kabisa ni wewe tu.
Km unashindwa kwenda mahakani pia ni simple tu, Kila atakapoenda kutumia hiyo kadi ya Bima lazima ujumbe utakuja kwako ukikutaka kubatilisha hiyo huduma km hiyo kadi huitambui na huwa wanaweka na namba ya kujibu hiyo sms. Hapo wewe chap una reply kuwa hauitambui hiyo kadi, then wao kule kwenye mtandao Wanaiblock. Akienda tena hospitali ataanbiwa bima yake imefungiwa maana haitambuliki kwenye mfumo. Atahangaika kuirudisha lakini atapata kazi na hata akipitia mlango wa nyuma, wewe unakuwa tu unasubiri sms, ikiingia tu kuwa katibiwa unawajibu kuwa hiyo kadi huitambui hadi ataitupa mwenyewe.
NB
Vijana msikurupuke kuwakatia bima za afya hao wake zenu harakaharaka kwa sababu za utamu wa uchi wanaowapa, ipo siku itawagharim, km wewe. Unakuta kijana anakataa kumuingiza baba au mama yake ktk bima kwa sababu ya mwanamke tena MKE kimeo ambae baada ya miaka 3 au 6 mnaachana na anaondoka na Bima yako huku wazazi wako wakiteseka na maradhi ya uzeeni.
Jifunzeni, siku zote MKE siyo ndugu yako bali ni rafiki tu wa karibu Wala hamna vinasaba hata chembe, sasa kwa nini umthamini kuliko wazazi wako. Na bado urithi unamuandikisha harakaharaka utadhani hamjawahi kuona uchi za wanawake. Kwani wakati mnazaliwa mlipita wapi. Acheni ulimbukeni. Mkikua mtaacha tu, sisi wazazi wenu tulishafika ukomo wa tamaa.
Ukikaidi! Huyu ni "single mama" ambaye kaachika ila ameamua kuwafanya watoto wake kama dhamana ili aendelee kunufaika. Hana lolote bure kabisaUmeongea kwa hisia kali
Hapo anataka amtoe huyo amweke mamsap mpya.... Hujaelewa??🤪😁Alikuwa mke wako umeachana naye, akiugua inaweza isikuhusu ila watoto wako itawahusu. Muache aendelee kuitumia kwa faida ya furaha ya watoto wako
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
DuuuBila shaka wakati unamwongeza uliambatanisha nyaraka za kisheria (cheti cha ndoa), hawawezi kumtoa tu kienyeji, fuata utaratibu wao. Na huko mahakamani kama ndoa yenu haina taraka inayotambulika kisheria utagonga mwamba.
Mmmh sio hivyoHapo anataka amtoe huyo amweke mamsap mpya.... Hujaelewa??🤪😁
Huyu mwamba anaonekana mtata sana ila namkaribisha dojo akanitukane vizuriIngawa hujanitukana mimi, lakini huwa nachukia sn matusi. Mbona kaeleza bila matusi wewe umeshindwa nini kumjibu kistaarabu. Wakat mwingine tunalazimisha ban
Don't think soSasa utabadilisha nakuapa marangapi kama kila atakae kuvua hio chupi unataka kumweka kwenye bima nakumtoa wamwanzo
UsijalMama ni mke nipe Mimi Nina nafasi nne wazi AAR
HaiwezekaniMwache aendelee kutumia Bima Bob... Usimfanyie hivyo. Mtu umemla nyapu mpaka siku hiyo then issue ndogo tu kama hiyo unataka mkatili?
Nenda kwa wanaotoa kadi, kwani unawaogopa?Naomba kujua, utaratibu wa kupata kadi nyingine baada ya kadi ya mtegemezi kupotea.
Huu ni ushauri wa kiungwana sana nadhani mtoa mada ataingiwa na hofu ya mungu.Dah itakuwa kakukera kishenzi,ila kama mna watoto naona ni busara umwache mzaz mwenzio aendelee kunufaika,mengine haya tunajipunguzia baraka ndogo ndogo.
Haiwezekani