Naomba kujua utaribu wa kusafirisha bidhaa kutoka Zanzibar kuja Dar

Naomba kujua utaribu wa kusafirisha bidhaa kutoka Zanzibar kuja Dar

Von Bismarck

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
3,890
Reaction score
8,647
Naomba kujua utaribu wa kusafirisha bidhaa kutoka zanzibar kuja Dar, mfano Tv na baiskeli.

Nategemea kuanza kuuza Tv na kukodisha baiskeli huku mkoan, hivyo nimeona kunagharama nafuu sana kupata bidhaa hiyo Zanzibar japo sijajua utaratibu upoje.

Hii ni kutokana na kodi za nchi yetu ni kila sehemu. Unaweza kuta kodi inazidi bei ya bidhaa, utani jamani.

Naomba mwenye kufahamu utaratibu upoje anifahamishe.
Karibu sana
 
Naomba kujua utaribu wa kusafirisha bidhaa kutoka zanzibar kuja Dar, mfano Tv na baiskeli
Nategemea kuanza kuuza Tv na kukodisha baiskeli huku mkoan, hivyo nimeona kunagharama nafuu sana kupata bidhaa hiyo zanzibar japo sijajua utaratibu upoje. Hii ni kutokana na kodi za nchi yetu ni kila sehemu. Unaweza kuta kodi inazidi bei ya bidhaa..utani jaman.

Naomba mwenye kufahamu utaratibu upoje anifahamishe.
Karibu sana
Mkuu mm nipo zenji nishafanya izo ishu njoo Pm tuongee
 
Naomba kujua utaribu wa kusafirisha bidhaa kutoka zanzibar kuja Dar, mfano Tv na baiskeli
Nategemea kuanza kuuza Tv na kukodisha baiskeli huku mkoan, hivyo nimeona kunagharama nafuu sana kupata bidhaa hiyo zanzibar japo sijajua utaratibu upoje. Hii ni kutokana na kodi za nchi yetu ni kila sehemu. Unaweza kuta kodi inazidi bei ya bidhaa..utani jaman.

Naomba mwenye kufahamu utaratibu upoje anifahamishe.
Karibu sana
Inabidi upite njia za panya kama ndo unaanza ili upate uzoefu kwasababu ukienda kwa TRA na gate pass wata kukamua wale vibarua bandarini ongea nao watakusaidia kutoa bidhaa zako .
 
Inabidi upite njia za panya kama ndo unaanza ili upate uzoefu kwasababu ukienda kwa TRA na gate pass wata kukamua wale vibarua bandarini ongea nao watakusaidia kutoa bidhaa zako .
Naanza kwa mzigo mdogo kaka..
Nita ku pm mkuu inaonekana una jua namna mambo yanaenda
 
Back
Top Bottom