Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good otherwise akaweke bank iwe inapungua kila siku.Usiweke pesa huko Kwa malengo ya faida , weka Kama akiba yako inayozaa faida...
Una save pesa haipungui kidogokidogo bali inaongezeka kidogokidogo.Faida zake zikoje kwa wanaojua plz
Asante.Una save pesa haipungui kidogokidogo bali inaongezeka kidogokidogo.
Inatumia compound interest yaani ukiweka pesa yako leo kesho inazaa faida. Wanachukua kianzio chako jumlisha faida ya kesho ili kupata faida ya kesho kutwa. Mfumo huo angalau utaifanya pesa yako iongezeke haraka ukilinganisha na fixed deposit za bank.
Usiweke pesa huko Kwa malengo ya faida , weka Kama akiba yako inayozaa faida...
Una save pesa haipungui kidogokidogo bali inaongezeka kidogokidogo.
Inatumia compound interest yaani ukiweka pesa yako leo kesho inazaa faida. Wanachukua kianzio chako jumlisha faida ya kesho ili kupata faida ya kesho kutwa. Mfumo huo angalau utaifanya pesa yako iongezeke haraka ukilinganisha na fixed deposit za bank.
Kama Hajaelewa Aseme Alipo Tumfute Huko HukoGood otherwise akaweke bank iwe inapungua kila siku.