Naomba kujua walipo waimbaji wa kwaya ya Ulyankulu Bara barabara ya 13

Habari Njema Kwaya Arusha mjini... MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA

Tumaini kwaya{shangilieni} Arusha... MWANA MPOTEVU

Mapigano Ulyankulu kwaya Tabora... MWENYE MAMLAKA

Kwa viumbe vyote kwaya Ulyankulu br. 13... KWA VIUMBE VYOTE

Nkinga Christian Choir Tabora.. SAULI

HUIMA{HUDUMA YA INJILI MASHULENI} CHOIR MWANZA... DUNIA SASA..

SAYUNI KWAYA TABORA... ISIKIENI SAUTI

Zingine nyingi pia nimezisahau.
 
umenikumbusha mbali haswa
 
Kuna hizi pia

HAKI HUINUA TAIFA

KWA NINI WATAKA KUJIUA

TUTAIMBA MILELE TUTAIMBA
 
Umenikumbusha mbali sana niliwahi kutubu kwenye mkutano wa sinema ya Yesu!
 
Kuna hizi pia

HAKI HUINUA TAIFA

KWA NINI WATAKA KUJIUA

TUTAIMBA MILELE TUTAIMBA
Tutaimba milele waliimba Habari Njema Choir Arusha mjini...

Kwa nini wataka kujiua waliimba Kinondoni revival choir
 
nawafahamu zaidi ya saba wapo Arusha na ni wafanyabiashara wazuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…