indundidotcom
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 235
- 230
Asilimia kubwa wapo kwaya zote mbili, maoigano na viumbe vyote wapo na wakigoma kurud Burundi ila baadhi walifariki vifo vya kawaida... Nipo Mara nyingi Sana huko kufanyabiashara na huwa naabudia kwenye makanisa yao makuuuubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app