Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitoka miaka ya 90 katikati huko, Ilivumaga sana kwa kweli,Hivi hiyo Album imetoka mwaka gani.?
Kinachofanya nizipende hizi nyimbo Mama alikua anapenda sana kuimba akiwa anatuogesha au akitwanga muhogo huo wimbo wa viumbe vyote. Kwaya nyingine ni ile ya kasulu waliimba Mke mwema..sijui wako wapi. Na wale wa Tabata waliimba sipati picha sijui walipotea wapi
View attachment 1404431
Jaribu kucheki YouTubeHii kwaya ni kiboko. Album yangu ya nyimbo za dini za muda wote ni " Katika Viumbe Vyote".
Na kuna wimbo wao mmoja unaitwa " Bwana Alizaliwa" Nimejaribu kuutafuta siupati ninaupenda sana.
Pia nasikia wale waimbaji wengi walikua ni wakimbizi toka Burundi walisharudi huko kwao.
Kwangu mpambano uwe
Mapigano ulyankulu barabara ya 22
Vs
kwaya ya Unlyahulu barabara ya 13
Ingawa kwangu wote wakati mnoooo
Ilinichukua miaka mingi Sana kutofautisha hizi kwaya, Ni mwaka huu tu ndo nimejua kutofaitisha.
Binafsi nawakubali MAPIGANO na albam zao za MWENYE MAMLAKA, FAHARI YA VIJANA, MICHEZO, SISI NI BARUA n.k
Ningeweka hapa nyimbo yao moja,naona app imenikatalia kuattach....All in all ukisikia kijana anazijua hizo nyimbo jua ni dalili bila shaka amekulia nyumba ya watu wenye kumjua Mungu au ni familia ya watumishi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni mid 90s,Ilitoka miaka ya 90 katikati huko, Ilivumaga sana kwa kweli,
Ndio zilikuwa nyimbo bora za wakati huo
ThanksSidhani kama ni mid 90s,
Sababu ipo video youtube mzee mmoja kati ya wale walioimba kwaya anaeleza.nyimbo ya katika viumbe vyote imetungwa mwaka 1979,na eneo lilipokuwa kanisa pamekuwa pori.so album kama ilichelewa sana itakuwa ilitoka 1982-1985.
Wale walikuwa wanajua kuimbaHii kwaya ni kiboko. Album yangu ya nyimbo za dini za muda wote ni " Katika Viumbe Vyote".
Na kuna wimbo wao mmoja unaitwa " Bwana Alizaliwa" Nimejaribu kuutafuta siupati ninaupenda sana.
Pia nasikia wale waimbaji wengi walikua ni wakimbizi toka Burundi walisharudi huko kwao.
Inawezekana mkuu kwaya hawajambo kuunganisha makojoleoKwa habari ambazo sina uthitisho nazo ni kwamba generation ya kwanza ya ile kwaya ilibukutika kwa ngoma, yaani HI-AIDS...its a hearsay!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha kuunganisha makojoleo
Shangilieni...Daaaa noma sana,Akina MuhoneWale walikuwa wanajua kuimba
Pia kuna wale wa Arusha mjini miaka ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye youtube pia wapoHii kwaya Ilivumaga sana miaka ya 90 huko, Nyimbo zao maarufu ni pamoja na
Samson na Delilah, Katika viumbe vyote Ayoub.
Hii kwaya ilijipatiaga umaarufu sana enzi hizo, naomba kujua kama hawa waimbaji bado wote wapo hai? Na wengine wapo wap leo hii?
Asante
Nakulilia Jehovah ni wimbo wao Bora.Hizo kwaya tulikuwa tunasindikizwa na Sungura mjanja.