Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Mad Jaluo

Member
Joined
Jun 19, 2019
Posts
89
Reaction score
159
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo. Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
 
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
Kama una mwenyeji aliyepo Sao Paolo, si umuulize njia ya kufika huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
Jaribu kuchek google map

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ungemuuliza huyo mwenyeji wako wa huko São Paulo. Au ingia online check website ya ubalozi wa Brazil nchini Tanzania utapata details zote za kuingia nchini kwao
 
Nadhani ungemuuliza huyo mwenyeji wako wa huko São Paulo. Au ingia online check website ya ubalozi wa Brazil nchini Tanzania utapata details zote za kuingia nchini kwao
Balozi zimefungwa.nataka niprofit sasa nianze mdogo mdogo mpaka nisogee.wakifungua balozi na mipaka nitakua nimeshasogea mbele.I call tjis a blessing in disguise
 
Kwanza kama wewe ni KIJANA NA UNATAKA VIZA YA BRAZIL basi ujipange HASWA UBALOZINI...nasikia hawatoi viza kwa WATANZANIA,,WAMEELEKEZWA HIVYO...,na hata kama UTAIPATA HYO VIZA,,,basi utafute SEHEMU YA kutokea lakini sio hapa MINAZI MIREFU....UTAPATA USUMBUFU WA HALI YA JUU,,,,pili kwann USIENDE KUOMBA VIZA MAREKANI straight ni bora kuliko GHARAMA UTAKAZOKUTANA NAZO,,,kutokea BRAZIL....TAFUTA WATU UWALIPE WAKUANDALIE DOCUMENTS ZA MIALIKO AU KUSOMA,,,UZAME UBALOZI MAREKANI
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom