Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
Sema uko wapi saivi ili nikuelekeze
 
Mkuu huwezi kwenda POPOTE BILA VIZA...kuna watu wa AIRLINE wanaitwa AIRLINE SECURITY, ,hawa kazi YAO ni kudeal na MIGRANTS... unapaswa kukutana nao kwanza,, kabla ya kuboard..wao watachek PASPORT YAKO NA MUALIKO WAKO NA VIZA YAKO,,,watakaguwa....kama MAGUMASHI wanakuzuia,,,kama poa UTAENDELEA NA PROCESS ZINGINE usidanganyike KIJANA...fuata maelekezo...
Nilitaka kujua kama nitapata visa on arrival?au nalazimika kupata before sijasafiri?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kama wewe ni KIJANA NA UNATAKA VIZA YA BRAZIL basi ujipange HASWA UBALOZINI...nasikia hawatoi viza kwa WATANZANIA,,WAMEELEKEZWA HIVYO...,na hata kama UTAIPATA HYO VIZA,,,basi utafute SEHEMU YA kutokea lakini sio hapa MINAZI MIREFU....UTAPATA USUMBUFU WA HALI YA JUU,,,,pili kwann USIENDE KUOMBA VIZA MAREKANI straight ni bora kuliko GHARAMA UTAKAZOKUTANA NAZO,,,kutokea BRAZIL....TAFUTA WATU UWALIPE WAKUANDALIE DOCUMENTS ZA MIALIKO AU KUSOMA,,,UZAME UBALOZI MAREKANI

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio mambo wabongo wanatakiwa washirikiane kama wenzetu nigeria.sio mtu anajibu panda kiaz kitamu.pumbavu kabisa
 
Ndugu yangu Brazil [emoji1054] utaenda kufa njaa napajua vizuri hakuna namna yeyote yakutoka zaidi ya kuwa kicontena cha kubeba unga


Sent using IPhone X

Ataenda kufa njaa?? Wewe ulishawahi kwenda ukafa njaa? Je una statistic ya watu walio kufa njaa Brazil??

Embu, wabongo tubadilike, tusiwe na mawazo mgando , hasa kama huna research yoyote kuhusu nchi za watu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Humu ndani wengi watakukatisha tamaa tu, njoo PM nikupe route ya kuzama huko..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu jifunze kwanza, tafuta taarifa za kutosha suala ulilouliza hukupaswa kuuliza watu maana hayo yote ulitakiwa kuyajua kabla hujaamua kuuliza.

Mm niliwahi kufika Brasil mwaka 2014, nakumbuka kulikuwa kunamaandalizi ya mashindano ya kombe la Dunia kama sikosei, ila mm sikuenda kushughudia michuano hiyo nilikwenda kwa dhamira nyengine na nashkuru nilifanikiwa na kurudi zangu Tz. Kwaiyo nitajaribu kushare taarifa chache nlizonazo walau tujuzani, pengine zinaweza kuwa bado hazijapitwa na wakati.

Sawa, ni hivi ukitaka kwenda Brasil usitumie South African Airways nakushauri utumie Emirates Airlines hii ni kwasababu ukitumia shirika la ndege la South wataanza kutilia mashaka sana kuhusu dhamira ya safari yako kutokana na ongezeko la vijana wanatumika kusafirishia madawa kutoka ama kuingia Brasil wanatumia Shirika la ndege la South. Hivyo nilichogundua shirika la ndege la Emirates sio mara nyingi kutumia na wabeba madawa sijui kwa nn.

Pili binafsi nnampanga wa kuingia Canada ila si kwanamna unayopanga ww, nakushauri kama unataka kuingia Canada jipange vizuri, tafuta taarifa kwa vyanzo vinavyoaminika halafu tafuta wataalamu wanajua kuandaa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uombaji wa viza wakuongoze vyema. Katika hili nakushauri ujiandae kifedha kwa sababu kila hatua inahitaji fedha kufanikiwa, usighofu kutumia fedha ila kuwa makini na kudeal na waru wasioaminika. Visa zinatoka ila watz tunatakiwa tujipange vizuri kabla hatujaingia pale kituo cha kuombea visa cha iom Msasani peninsula kituoni ofisi za IOM "vfs global tanzania".

Nakushauri usizunguuke kote huko, jipange utobolee palepale IOM Visa Centre.

KILA LA KHEIR MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nimekukubali sana, umeongea facts zote hizo.

Na mimi nipo kwenye process za kuingia Canada..

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu jifunze kwanza, tafuta taarifa za kutosha suala ulilouliza hukupaswa kuuliza watu maana hayo yote ulitakiwa kuyajua kabla hujaamua kuuliza.

Mm niliwahi kufika Brasil mwaka 2014, nakumbuka kulikuwa kunamaandalizi ya mashindano ya kombe la Dunia kama sikosei, ila mm sikuenda kushughudia michuano hiyo nilikwenda kwa dhamira nyengine na nashkuru nilifanikiwa na kurudi zangu Tz. Kwaiyo nitajaribu kushare taarifa chache nlizonazo walau tujuzani, pengine zinaweza kuwa bado hazijapitwa na wakati.

Sawa, ni hivi ukitaka kwenda Brasil usitumie South African Airways nakushauri utumie Emirates Airlines hii ni kwasababu ukitumia shirika la ndege la South wataanza kutilia mashaka sana kuhusu dhamira ya safari yako kutokana na ongezeko la vijana wanatumika kusafirishia madawa kutoka ama kuingia Brasil wanatumia Shirika la ndege la South. Hivyo nilichogundua shirika la ndege la Emirates sio mara nyingi kutumia na wabeba madawa sijui kwa nn.

Pili binafsi nnampanga wa kuingia Canada ila si kwanamna unayopanga ww, nakushauri kama unataka kuingia Canada jipange vizuri, tafuta taarifa kwa vyanzo vinavyoaminika halafu tafuta wataalamu wanajua kuandaa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uombaji wa viza wakuongoze vyema. Katika hili nakushauri ujiandae kifedha kwa sababu kila hatua inahitaji fedha kufanikiwa, usighofu kutumia fedha ila kuwa makini na kudeal na waru wasioaminika. Visa zinatoka ila watz tunatakiwa tujipange vizuri kabla hatujaingia pale kituo cha kuombea visa cha iom Msasani peninsula kituoni ofisi za IOM "vfs global tanzania".

Nakushauri usizunguuke kote huko, jipange utobolee palepale IOM Visa Centre.

KILA LA KHEIR MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nahisi mleta mada anataka atumie usafiri mwingine tofauti na wa ndege. Kasema anataka anze safari mdogo mdogo wakija kufungua balozi awe amesogea.maana kwa sasa balozi zimefunga.

Hata hivyo nahisi ushauri wako utamfaa.
 
Back
Top Bottom