mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
MKUU mambo hayo watu wanasaidiaba na kushirikiana TATIZO ni kutopata watu sahihi wa kukusaidia,,,inategemea na network YAKO ya watu wako....kama unahitaji viza ya inchi yeyote DUNIANI.. Isipokuwa hyo Brazil na Pakistan nione inbox..huko kuna maelekezo ya kutotoa VIZA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio mambo wabongo wanatakiwa washirikiane kama wenzetu nigeria.sio mtu anajibu panda kiaz kitamu.pumbavu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app