Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Unaweza ukaeleza hapa sababu za kuzuia viza kwa watanzania kwenda Brazil mkuu?
Kwanza kama wewe ni KIJANA NA UNATAKA VIZA YA BRAZIL basi ujipange HASWA UBALOZINI...nasikia hawatoi viza kwa WATANZANIA,,WAMEELEKEZWA HIVYO...,na hata kama UTAIPATA HYO VIZA,,,basi utafute SEHEMU YA kutokea lakini sio hapa MINAZI MIREFU....UTAPATA USUMBUFU WA HALI YA JUU,,,,pili kwann USIENDE KUOMBA VIZA MAREKANI straight ni bora kuliko GHARAMA UTAKAZOKUTANA NAZO,,,kutokea BRAZIL....TAFUTA WATU UWALIPE WAKUANDALIE DOCUMENTS ZA MIALIKO AU KUSOMA,,,UZAME UBALOZI MAREKANI

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?

Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.

Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni

Ndugu yangu Brazil [emoji1054] utaenda kufa njaa napajua vizuri hakuna namna yeyote yakutoka zaidi ya kuwa kicontena cha kubeba unga


Sent using IPhone X
 
Ndugu jifunze kwanza, tafuta taarifa za kutosha suala ulilouliza hukupaswa kuuliza watu maana hayo yote ulitakiwa kuyajua kabla hujaamua kuuliza.

Mm niliwahi kufika Brasil mwaka 2014, nakumbuka kulikuwa kunamaandalizi ya mashindano ya kombe la Dunia kama sikosei, ila mm sikuenda kushughudia michuano hiyo nilikwenda kwa dhamira nyengine na nashkuru nilifanikiwa na kurudi zangu Tz. Kwaiyo nitajaribu kushare taarifa chache nlizonazo walau tujuzani, pengine zinaweza kuwa bado hazijapitwa na wakati.

Sawa, ni hivi ukitaka kwenda Brasil usitumie South African Airways nakushauri utumie Emirates Airlines hii ni kwasababu ukitumia shirika la ndege la South wataanza kutilia mashaka sana kuhusu dhamira ya safari yako kutokana na ongezeko la vijana wanatumika kusafirishia madawa kutoka ama kuingia Brasil wanatumia Shirika la ndege la South. Hivyo nilichogundua shirika la ndege la Emirates sio mara nyingi kutumia na wabeba madawa sijui kwa nn.

Pili binafsi nnampanga wa kuingia Canada ila si kwanamna unayopanga ww, nakushauri kama unataka kuingia Canada jipange vizuri, tafuta taarifa kwa vyanzo vinavyoaminika halafu tafuta wataalamu wanajua kuandaa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uombaji wa viza wakuongoze vyema. Katika hili nakushauri ujiandae kifedha kwa sababu kila hatua inahitaji fedha kufanikiwa, usighofu kutumia fedha ila kuwa makini na kudeal na waru wasioaminika. Visa zinatoka ila watz tunatakiwa tujipange vizuri kabla hatujaingia pale kituo cha kuombea visa cha iom Msasani peninsula kituoni ofisi za IOM "vfs global tanzania".

Nakushauri usizunguuke kote huko, jipange utobolee palepale IOM Visa Centre.

KILA LA KHEIR MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kama wewe ni KIJANA NA UNATAKA VIZA YA BRAZIL basi ujipange HASWA UBALOZINI...nasikia hawatoi viza kwa WATANZANIA,,WAMEELEKEZWA HIVYO...,na hata kama UTAIPATA HYO VIZA,,,basi utafute SEHEMU YA kutokea lakini sio hapa MINAZI MIREFU....UTAPATA USUMBUFU WA HALI YA JUU,,,,pili kwann USIENDE KUOMBA VIZA MAREKANI straight ni bora kuliko GHARAMA UTAKAZOKUTANA NAZO,,,kutokea BRAZIL....TAFUTA WATU UWALIPE WAKUANDALIE DOCUMENTS ZA MIALIKO AU KUSOMA,,,UZAME UBALOZI MAREKANI

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza angu visa ya Marekani nilishanyimwa ndioya kwanza kuomba.mpaka nikaamua kuzunguka ni kwa sababu sina connection mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu jifunze kwanza, tafuta taarifa za kutosha suala ulilouliza hukupaswa kuuliza watu maana hayo yote ulitakiwa kuyajua kabla hujaamua kuuliza.

Mm niliwahi kufika Brasil mwaka 2014, nakumbuka kulikuwa kunamaandalizi ya mashindano ya kombe la Dunia kama sikosei, ila mm sikuenda kushughudia michuano hiyo nilikwenda kwa dhamira nyengine na nashkuru nilifanikiwa na kurudi zangu Tz. Kwaiyo nitajaribu kushare taarifa chache nlizonazo walau tujuzani, pengine zinaweza kuwa bado hazijapitwa na wakati.

Sawa, ni hivi ukitaka kwenda Brasil usitumie South African Airways nakushauri utumie Emirates Airlines hii ni kwasababu ukitumia shirika la ndege la South wataanza kutilia mashaka sana kuhusu dhamira ya safari yako kutokana na ongezeko la vijana wanatumika kusafirishia madawa kutoka ama kuingia Brasil wanatumia Shirika la ndege la South. Hivyo nilichogundua shirika la ndege la Emirates sio mara nyingi kutumia na wabeba madawa sijui kwa nn.

Pili binafsi nnampanga wa kuingia Canada ila si kwanamna unayopanga ww, nakushauri kama unataka kuingia Canada jipange vizuri, tafuta taarifa kwa vyanzo vinavyoaminika halafu tafuta wataalamu wanajua kuandaa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uombaji wa viza wakuongoze vyema. Katika hili nakushauri ujiandae kifedha kwa sababu kila hatua inahitaji fedha kufanikiwa, usighofu kutumia fedha ila kuwa makini na kudeal na waru wasioaminika. Visa zinatoka ila watz tunatakiwa tujipange vizuri kabla hatujaingia pale kituo cha kuombea visa cha iom Msasani peninsula kituoni ofisi za IOM "vfs global tanzania".

Nakushauri usizunguuke kote huko, jipange utobolee palepale IOM Visa Centre.

KILA LA KHEIR MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo fedha ndio shida.nililiwa hela yangu na agent wa visa pale posta mpya.kanitengenezea document kibao kufika ubalozi wa marekani ikabuma.nikarudia tena hola.na hapo hela inaenda hairudi.sasa nimeona niingie front kama wahamiaji wengine walivyojitoa kafara kusafiri kwa njia ya barabara mpaka Canada na wamefika kwa mkono wa Mungu.Acha nijaribu umri wangu unaruhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda mpaka South Africa Johannesburg daka ndege shirika la ndege la LATAM Brasil inakupeleka strait mpaka Sao Paolo Brazil
 
Easy tu Braza!
Brazil unakatia ticket hapo ubungo, nadhan Basi zinazoenda huko Kuna Capricorn na Sumry, Seema utachelewa Sana, huwa wanafika saa8 mchana
 
Write your reply...Write your reply...kuingia na kutoka Brazil ni rahisa sana kama huamini muulize Ronaldinho au yule Gang leader muuza drugs wa brazil aliekamatiwa majuzi Mozambique
 
Pale EMBASSY palikuwa na bandiko kwa watanzania kuanzia miaka 55 kushuka chini VIZA HAZITOLEWI...labda wabadilishe mwaka huu..ila ukitaka maelezo KAULIZE EMBASSY... ni kwamba ukipeleka MAOMBI watachukuwa,,,hata uwe na DOCUMENTS GANI..hupewi viza..labda BARUA MAALUM KUTOKA SEHEM MAALUM,,nadhani umenielewa..WEWE nenda EMBASSY... hata uwe na NINI bila BARUA MAALUM HUPATI VIZA...
Unaweza ukaeleza hapa sababu za kuzuia viza kwa watanzania kwenda Brazil mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom