Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

51351C8B-AD45-4C63-BE4A-AB0AE62C6FD9-1925-0000007270BE4B08.jpg


Ipate hii kwa

Tshs 260,000 tu.

Popote ulipo unaipata,
Hata mkoani.

Njoo inbox.
 
Nyinyi ndio watu mnaonuka kama beberu kwenye daladala kwa kuwa mawazo yenu yamejiaminisha uturi ni kitu cha bei kubwa wakati deodorant spray kariakoo kwenye maduka ya jumla zipo mpaka za shillings 3500/= tena za kijanja kabisa.
Hahahahaha
 
Mafuta ya nazi Mkuu ukishajisiliba bomba sana , itapendeza.

Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??

NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia body spray za Rasasi kuna hii moja ya kuitwa emotion ni nzuri,inauzwa buku sita tu.
 
Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??

NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hapo mkuu.
 

Attachments

  • 1556384071618.jpeg
    1556384071618.jpeg
    319.3 KB · Views: 48
Back
Top Bottom