ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Dunhill desire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa swala la uanaume wa wapi linahusika vp hapo?Unukiaji wa spray ni ishu kutoka kwa mtu mwenyewe ,ninayoona mimi inafaa huwezi ipenda so ndio maana nimekuuliza wewe mwanaume wa wapi kwa sababu unauliza swali ambalo watu wamashindwa kutoa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasiraUnukie umekua mtoto wa kike?? Au unataka kupigwa upara
Hiyo ni cheap?!!Kanunue Fighting Temptation
Mmmh ina harufu kali kishenzi. Niliipaka nikiwa bado mwanafunzi. Hivo hii bado ipo madukani?!! Kwa mtu mwenye jiasho kali itamfaa sana.Cobra
Niliwahi kuitumia hii. Uzuri wake haikeri watu wengine mpaka awe karibu yako kiasi ndo ataweza kuisikia harufu yake, ni nzuriexprola
hao kwao ukienda hawali mpaka uondoke,watu wana choyo mpaka na vitu sio vyao.
hekima ni tunda la roho sio hao waimba kwaya waliotangulia.kuna spray inaitwa Log in inauzwa elfu sita ni nzuri
KwaaaaakweliHivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
Japo n mwaka sasa umepita lakin wewe mkuu uliongea jambo LA busara sana! Watu wanapenda kudharau mada za wengine lakn kila mtu anapokuja na Uzi humu ujue anahtaj msaada! Hongera sana mkuu huko uliko na Mungu akubarik mno.Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
Hata perfume zipo za kuanzia 8 AboveHabari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hyo Inauzwa pesa ngapi kW duka..?Pole mtoa mada kwa majibu ambayo hukuyategemea, ila jamani c lazima kuchangia kila mada, waweza soma then ukapotezea ukahamia jukwaa lingine tu. Kuhusu body spry mimi huwa situmii, natumia pafyumu inaitwa bondage ni nzuri na inakaa kwa nguo kwa mda mrefu tu! Ahsante
Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.