HahahahahaNyinyi ndio watu mnaonuka kama beberu kwenye daladala kwa kuwa mawazo yenu yamejiaminisha uturi ni kitu cha bei kubwa wakati deodorant spray kariakoo kwenye maduka ya jumla zipo mpaka za shillings 3500/= tena za kijanja kabisa.
Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kata kucha zako mkuu
View attachment 1080186
Ipate hii kwa
Tshs 260,000 tu.
Popote ulipo unaipata,
Hata mkoani.
Njoo inbox.
Eeeeh hiyo ndio body spray???? Jamani weweMafuta ya nazi Mkuu ukishajisiliba bomba sana , itapendeza.
HahahahahahahaHahahahaha substitution zeshchriss
Hiyo hapo mkuu.Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app