Habari wana jf.
Mimi ni mzazi na nategemea mwanangu kuhitimu daresay la 7 mwaka huu hivyo kujiunga na kidato cha kwanza mwakani mwaka 2023.
Ningependa kujua makadirio ya Ada katika shule hizi mbili za St. Mary's ile ya ULETE IRINGA na MARY GOLETH YA MOSHI
Ahsanteni
Okay shukran, naomba na sababu why Mary goleth na sio Mary's ULETEBinafs Bora uende St marry goreth ya mosh ada and kuanzia 2.3M
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuhusu ada naona mdau kajibu hapa!St Marys Ulete.
Kwa saiv ni 1.5M, moja ya shule bora ( malezi na academic).
Kama atafaulu mtihani wa kuingilia ( kama mzembe hawezi pita), basi mpeleke.
Kwanini uache shule ya 20 kitaifa uende ya 87?Binafs Bora uende St marry goreth ya mosh ada and kuanzia 2.3M
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii ni mary GorethOkay shukran, naomba na sababu why Mary goleth na sio Mary's ULETE
Wanakimbizana na hao wengine, but Bethel ni moto wa kuotea mbali kabisa huoKuhusu ada naona mdau kajibu hapa!
Nitaiongelea St Mary's Ulete sababu nina ifahamu zaidi,
Moja kati ya shule nzuri (ki-ufaulu) kwa mkoa wa Iringa, Shule ipo chini ya Jimbo katoliki diocese of Iringa.
Ki-ufaulu huwa wanabadilishana nafasi /kimbizana na Don Bosco Seminary (Mafinga), Bethel Sabs (Mafinga), Mafinga Seminary (sikuhizi imeshuka hii sijui kwanini), Ifunda Tech.
Walimu wanasimamia sana nidhamu na taaluma, enzi hizo kulikua na mchujo kila hatua usipofikisha average ;
Form one mwisho wa mwaka, Form two kabla ya pasaka na Form three mwishoni.
Mazingira, sio kuzuri saaana [emoji3], lakini mtoto akipita usaili ana uhakika wa kufaulu vyema kidato cha II & IV.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha pale nasikia hata waislamu wanafundishwa ishara ya msalabaHii ni mary Goreth
View attachment 2147745
Na hii ni St mary UleteView attachment 2147746
Kama mzazi unaweza fanya upembuzi yakinifu nini unataka kwa mwanao.
Ila kama unataka mwanao akale bata, basi Ulete hakuna bata, hakuna visiting Day, Malezi ya kikristo ni lazima sio Ombi.
ππ Ukiwa muislam Wanakuweka uwe mtumishi wa Altare, au Usome neno.Hahahahaha pale nasikia hata waislamu wanafundishwa ishara ya msalaba
Aiseee shukran sana kwa hizi data π ngoja nichukue hiyo form ya ulete mwezi wa 10 akafanye interviewHii ni mary Goreth
View attachment 2147745
Na hii ni St mary UleteView attachment 2147746
Kama mzazi unaweza fanya upembuzi yakinifu nini unataka kwa mwanao.
Ila kama unataka mwanao akale bata, basi Ulete hakuna bata, hakuna visiting Day, Malezi ya kikristo ni lazima sio Ombi.
Sema afanye interview kote......Aiseee shukran sana kwa hizi data π ngoja nichukue hiyo form ya ulete mwezi wa 10 akafanye interview
Ada inaanzia 2.3?how, yani kwenye Ada Kuna baggainBinafs Bora uende St marry goreth ya mosh ada and kuanzia 2.3M
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app