Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Heshima kwenu wadau.
Naomba kujuzwa dawa ya maumivu ya mfupa wa kwenye goti, tatizo lilitokana na ajali ya boda goti likavunjika hata kutembea ikawa shida kwa muda wa miezi 6+ ni kitandani tu.
Ikapatikana nafuu ya kuanza kutembea na mara kwa mara mfupa wa goti huwa unauma hasa kipindi cha baridi, lakini tangu jana kuna maumivu makali sana kwenye mfupa kiasi kwamba hata pain killer za kawaida zimeshindwa kutuliza maumivu hayo.
Naomba kujuzwa dawa gani ya maumivu makali itakayoweza kusaidia kupunguza hali hiyo ya maumivu ya mfupa kwenye goti wakuu.
Natanguliza shukran kwenu.
Naomba kujuzwa dawa ya maumivu ya mfupa wa kwenye goti, tatizo lilitokana na ajali ya boda goti likavunjika hata kutembea ikawa shida kwa muda wa miezi 6+ ni kitandani tu.
Ikapatikana nafuu ya kuanza kutembea na mara kwa mara mfupa wa goti huwa unauma hasa kipindi cha baridi, lakini tangu jana kuna maumivu makali sana kwenye mfupa kiasi kwamba hata pain killer za kawaida zimeshindwa kutuliza maumivu hayo.
Naomba kujuzwa dawa gani ya maumivu makali itakayoweza kusaidia kupunguza hali hiyo ya maumivu ya mfupa kwenye goti wakuu.
Natanguliza shukran kwenu.