Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,083
- 1,628
Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?
Gharama kwa siku ni kiasi gani?
Nipo Arusha, natanguliza shukrani.
Gharama kwa siku ni kiasi gani?
Nipo Arusha, natanguliza shukrani.