Naomba kujuzwa gharama ya safari ya mbugani kwa njia ya Land Cruiser

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?

Gharama kwa siku ni kiasi gani?

Nipo Arusha, natanguliza shukrani.

 
Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.

Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Inafuatana na aina ya wanyama unaotaka kuwaona,nadhani mpaka umechagua tarangire umefanya research wanyama gani unawaona kwa urahisi huko.
Mbuguni unaweza zunguka siku nzima,ukaona wanyama wachache tofauti na mind yako ilikua inatarajia.
 
Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.

Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Tarangire ni 120km hivi tokea Ar, ukidamka 11 saa 2 upo getini unapiga game drive hadi jioni ila hakikisha saa 12 ushatoka hifadhini kuepuka penalty. Kuhusu wanyama Tarangire wapo sana haswa kama ukifika Silale kule na huu msimu wa kiangazi
 
Njoo DM tuchangie mafuta hair yangu mimi naenda kesho!
 
Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.

Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Tarangire hiyo

 
Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.

Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Welcome to Tarangire National park

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…