political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
Raman hii hapaJe raman yake unayo au unataka rondmly approximation na jins ya kuminimize cost tu
Wakuu hii imekosa majibu humu?Raman hii hapaView attachment 2266648
Haijakosa jibu, nikitulia nakupa gharama yakeWakuu hii imekosa majibu humu?
inategemeana na mazingraroughly ni kama 50m hivi
Msingi peke yake au mpaka kumaliza ujenzi wote mpaka ya juu?roughly ni kama 50m hivi
Msingi tu mkuuMsingi peke yake au mpaka kumaliza ujenzi wote mpaka ya juu?
Uwih!!roughly ni kama 50m hivi
Are you an engineer or something? Maana naona unataka kumkatisha tamaa tu.Msingi tu mkuu
ExperienceAre you an engineer or something? Maana naona unataka kumkatisha tamaa tu.
Natumia uzoefu wangu maana vipimo havionekani vizuri. Hapo roughly andaa 15M mpaka 17M kutegemea na mahali ulipo bei ya materials ikoje na utatumia njia ipi kujenga i.e mkandarasi (kampuni), fundi maiko au utanunua materials na kumtafuta mtaalam (engineers) akujengee.Wataalam naomba rough estimate ya msingi wa kijumba chenye GHOROFA MOJA,ukubwa wake ni 7680x9270.
Gharama ya msingi hadi kufunga mkanda ni kiasi gani cha fedha,Eneo ni flat kabisa.
Je, hatua au mbinu gani unaweza kufanya kupunguza gharama zisizo za lazima?
50M anasuka mpaka slab mzee.roughly ni kama 50m hivi
nondo iko juu sana kabla ya 2020 ilikua inawezekana50M anasuka mpaka slab mzee.
Vipimo havionekani vimefifia, unapoombwa ramani sio mchoro pekee bali ni hivyo vipimoRaman hii hapaView attachment 2266648
Ni kweli chuma iko juu Sana, Ila 50M ni mbali Sana mkuu. Hiyo ramani yake hata sio kubwa kivile.nondo iko juu sana kabla ya 2020 ilikua inawezekana
ushauri tu awe na hiyo kitu. kuna chuma zinasukwa chini (base) na kuzunguka msigi wote, kuna tofali zinazikwa kozi zaidi ya saba za kulaza, kuna mkanda unapigwa mzunguko wote, kuna zege chini kwenye base na huo mkanda, kuna kifusi cha kujaza, kuna framework za kufunga na mambo ya mafundi. Basically, ata cement. mchanga, na kokoto zote zimepandaNi kweli chuma iko juu Sana, Ila 50M ni mbali Sana mkuu. Hiyo ramani yake hata sio kubwa kivile.