RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Okay. Kuna tofali huwa naziona kama zina kokoto hivi.Kabisa unajenga bila columns. Kinachofanyika ni kwamba tofali zinakuwa 20 kwa mfuko mmoja
Kwahio hapa kuta ndio zinabeba mzigo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay. Kuna tofali huwa naziona kama zina kokoto hivi.Kabisa unajenga bila columns. Kinachofanyika ni kwamba tofali zinakuwa 20 kwa mfuko mmoja
Yes hizo hizo zenye kama kokoto ndio zinatumikaOkay. Kuna tofali huwa naziona kama zina kokoto hivi.
Kwahio hapa kuta ndio zinabeba mzigo?
Unafikiri ni nini hufanya gharama za mradi zikatofautiana hata kama ni design inafanana kwa kila kitu?No chance,wrong estimates
Mkuu naona umedhamiria, mwaka huu tutalala kwenye ghorofa lako pale Singida. Hongera kwa kuweka nia.Asante mkuu. Naomba kujua kuhusu gharama za fundi kujenga msingi