OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkuu naomba kujua mambo kadhaa, kwa hiyo dimensions yako ya 7X9Wakuu, Sorry kwa kupotea kidigo..... Nimemaliza kila kitu na kwa sasa linatumika, Ningeweka picha lakini sidhani kama itakuwa busara....
1. Gharama za fundi kujenga Msingi
2.Umetumia nguzo ngapi
3. Gharama za fundi kuwepa nguzo
4. Nguzo umeweka nondo size gani