Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

Mkuu ukifikia hatua ya finishing.naomba kaz call/WhatsApp 0757735884 au tembelea ukurasa wetu Instagram highland_decor_solution
Wakuu hivi ni lazima kusubili Kwa siku 21 ukishamwaga slab ndo kazi zingine ziendelee? Mbona naona ninsiku nyingi mno bika sababu, wataalam nishauri tafadhali
 
Hyo hapo nimetumia cement mfuko 30 plasta nje na ndani bati za 1.2m mbao za kupaulia 512000,

Andaa Kwanza msingi Kisha na nguzo za kubeba zege la juu


IMG_20221223_180539_9.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wataalam naomba rough estimate ya msingi wa kijumba chenye GHOROFA MOJA, ukubwa wake ni 7680x9270.

Gharama ya msingi hadi kufunga mkanda ni kiasi gani cha fedha, Eneo ni flat kabisa.

Je, hatua au mbinu gani unaweza kufanya kupunguza gharama zisizo za lazima?
Laki 9 kwa square meter moja iliyojengawa

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom