Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Asante sana.Siwezi
kukadiria kwa km ila zinaweza kufika 2 mpaka 3 ni njia ya kuelekea kisarawe II kutokea cheka ni eneo tambarare lenye mchanga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana.Siwezi
kukadiria kwa km ila zinaweza kufika 2 mpaka 3 ni njia ya kuelekea kisarawe II kutokea cheka ni eneo tambarare lenye mchanga sana
Mkuu hapa umenikamata sina kumbu kumbu nzuri kama ni 12 au otherwiseBora wenye uzoefu mnatoa experience, kaka hili jengo lilikuwa na nguzo ngapi?
Ok bro, na kwenye nguzo zilitumika nondo za mm 12, au 16?Mkuu hapa umenikamata sina kumbu kumbu nzuri kama ni 12 au otherwise
16 mm zilikua kwa ajili ya nguzo na 12mm zilikukwa kwa ajili ya slabOk bro, na kwenye nguzo zilitumika nondo za mm 12, au 16?
Shukrani Bro nitakuja inbox nataka nipate uzoefu maana nina site yangu kigamboni sasa na nitakuwa na project ya ghorofa baadae16 mm zilikua kwa ajili ya nguzo na 12mm zilikukwa kwa ajili ya
Usijali mimi pia nilipata experience nimetamani pia kujenga niliwekwa kama msimamizi hasa kwenye pesa niligundua kitu muhimu sana chukua quotation ya vifaa kwa fundi nenda mwenyewe dukani BEI ya vitu ilileta difference kubwa ENGINEER alikodiwa akashauri vibarua wakachimba nyumba ikanyanyuliwa kama masihara NONDO zilienda nyingi kwenye slab lakini baada ya slab ilikuwa slopeShukrani Bro nitakuja inbox nataka nipate uzoefu maana nina site yangu kigamboni sasa na nitakuwa na project ya ghorofa baadae
So usinichoke
Shukrani sana kaka kwa moyo wako wa kukubali kutoa uzoefu Mungu akulinde maana unakuwa/utakuwa msaada kwa wengi maana dah nikisomaga comments za waja ni kama vile kujenga ghorofa ni jambo la kutisha wakati si hivyo.Usijali mimi pia nilipata experience nimetamani pia kujenga niliwekwa kama msimamizi hasa kwenye pesa niligundua kitu muhimu sana chukua quotation ya vifaa kwa fundi nenda mwenyewe dukani BEI ya vitu ilileta difference kubwa ENGINEER alikodiwa akashauri vibarua wakachimba nyumba ikanyanyuliwa kama masihara NONDO zilienda nyingi kwenye slab lakini baada ya slab ilikuwa slope
Mpuuzi mmoja tu huyo. 50M fu.ck or whatAre you an engineer or something? Maana naona unataka kumkatisha tamaa tu.
Naunga mkono hojaNaona huu uzi umekuwa msaada kwa watu wengi. Kwa kifupi umefungua watu macho.
No chance,wrong estimatesNatumia uzoefu wangu maana vipimo havionekani vizuri. Hapo roughly andaa 15M mpaka 17M kutegemea na mahali ulipo bei ya materials ikoje na utatumia njia ipi kujenga i.e mkandarasi (kampuni), fundi maiko au utanunua materials na kumtafuta mtaalam (engineers) akujengee.
Vipimo vingeonekana ningekusaidia vizuri zaidi mkuu.
Lakini ghorofa nyingi za kawaid ni lazima uwe na million 250 kwenda juu ikiwemo finishingiYaani mkiwasikiliza watu wa Humu hamtakenga. GHOROFA ni kawaida kujenga tena inasaidia kutumia Eneo vizuri.
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Uzi huu umeondoa credibility ya comment kama yako. Na watu wametoa ushuhuda wao.Lakini ghorofa nyingi za kawaid ni lazima uwe na million 250 kwenda juu ikiwemo finishingi
Sure Bro, unajua tatizo baadhi ya waTz huvipa thamani za juu sana vitu vyao ilhali kiuhalisia siyo hivyo sasa utakuta mtu unataka upate tu idea ya gharama ya kitu fulani mf .ghorofa ndogo simple ya makazi (unakuta na anayehitaji msaada katoa na details za nyumba yenyewe kwa maana ya SQM) sasa utakuta mchangiaji mwingine anataja tu hapo kwenye foundation jiandae na 100MNaona huu uzi umekuwa msaada kwa watu wengi. Kwa kifupi umefungua watu macho.
Hongera sana mkuuWakuu, Sorry kwa kupotea kidigo..... Nimemaliza kila kitu na kwa sasa linatumika, Ningeweka picha lakini sidhani kama itakuwa busara....
Column unamaanisha nguzo??Unataka kujenga kwa kutumia columns au bila columns?
Ndio boss nguzo...yaani nondo ndani ya zegeColumn unamaanisha nguzo??
Hii inawezekana?Unataka kujenga kwa kutumia columns au bila columns?
Kabisa unajenga bila columns. Kinachofanyika ni kwamba tofali zinakuwa 20 kwa mfuko mmojaHii inawezekana?