political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
- Thread starter
- #121
Nitaomba nicomfirm maana siko site now#1 na #2?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaomba nicomfirm maana siko site now#1 na #2?
Kwenye slab Kuna vitu nilibug kama nisingebug hapo ningeokoa kama.2.5mMbona hapo kwenye slabs ni kipengele aisee [emoji276]mkuu biga mahesabu vizuri unatutisha [emoji851]
Kwenye slab Kuna vitu nilibug kama nisingebug hapo ningeokoa kama.2.5m
Nilig'angania kutumia Nondo za nje BS 500, na zote 12mm Kwa layer zote mbili, ningeweza kutumia local tofauti ya bei ni kubwa mno, na ningechanganya 12mm na 10mm Kwa ushauri wa injinia hii ingefaa lakini nilijikuta nimeshazoa hizo nikazibwaga pale .
Lakini Kwa kweli kama Kuna kitu kinakula hela no slab,nimejitahidi kuwa na data zote. Hizo nilizokupa hakuna nilipozidisha wa kupunguza, hata nilipotimia usafiri kusimamia mafundi gharama nimeweka,hata nilipowaninilia soda au maji nimeinclude,Kwa kweli slab si mchezo.
16m unaona kubwa?! Wewe mayu nina shaka utakuja kuua watu na kaslab ka 5mMbona hapo kwenye slabs ni kipengele aisee [emoji276]mkuu biga mahesabu vizuri unatutisha [emoji851]
16m unaona kubwa?! Wewe mayu nina shaka utakuja kuua watu na kaslab ka 5m
Mkuu unaweza kutoa mchanganuo wa 16.5m za slab? Kuna kitu nataka kujifunza:MREJESHO
Hatimaye sasa nimekuja kureta mrejesho hapa,kaa kitako na ujiandae kujenga ghorofa.
1. Msingi nimetumia 8,528,200
2.Shimo la choo ni 1,237,500
3.Boma ni 5,029,200
4.Kumwaga slab ni 16,537,000
5. Kulaza Bomba za umeme kwenye slab ni 220,000
Form work milunda nilinunua kama 120 hivi, fundi alikula 1.8M zege nimenunua kwenye Makampuni yanayouza zege, wanakuja wanapima wanaokuletea kumwaga pale 240K per Cubic meter. Nondo 12mm nilinunua 195, na 16mm kama 40 hivi, 8mm kama 40.Mkuu unaweza kutoa mchanganuo wa 16.5m za slab? Kuna kitu nataka kujifunza:
1. Nondo Kiasi gani
2. Kokoto Kiasi gani
3. Cement mifuko mingapi
4. Form work (mirunda na mbao)
5. Ufundi (kuchanganya na kumwaga zege)
6. Mchanga Kiasi gani
Form work milunda nilinunua kama 120 hivi, fundi alikula 1.8M zege nimenunua kwenye Makampuni yanayouza zege, wanakuja wanapima wanaokuletea kumwaga pale 240K per Cubic meter. Nondo 12mm nilinunua 195, na 16mm kama 40 hivi, 8mm kama 40.
Ninazo nikitoka njoo nikuuzie na marine boardMbao 4by 2 na 1 by 6 unazo uniuzie boss??
Mkuu umepata sqm za slab yako?Ninazo nikitoka njoo nikuuzie na marine board
hahahahahaha komaa ndugu hata mie nawazaga sana huu mziki wa ghorofa maana nina nyumba kama 3 hivi najiulizaga ningeweka hizi nguvu pamoja si nina kagorofa na mieKumbe bado nilikuwa sijafika kwenye ujenzi wa ghorofa, Muda huu nipo Kwa slab inataka kunitoa roho, nitaleta mrejesho.
Mkuu sijalamba asali Mimi bado Nadu duliza kama ninyi, lakini nakumbuka mwanzoni kabisa mwa post yangu niliweka vipimo jaribu kurudi nyuma. Tangu nimwage slab nimeenda Leo. Maana ilinikausha kabisa hadi nikaichukiaSema mtoa mada ni kama wale walamba asali [emoji276]ukiulizwa jengo lina ukubwa gani kimya,slabs SQM ngapi kimya!,ama unataka na sisi tusijenge maghorofa kama wewe!?,ulianza vizuri ila ulivyolamba asali tu basi
Pitia hapa ndo Kuna vipimoWataalam naomba rough estimate ya msingi wa kijumba chenye GHOROFA MOJA, ukubwa wake ni 7680x9270.
Gharama ya msingi hadi kufunga mkanda ni kiasi gani cha fedha, Eneo ni flat kabisa.
Je, hatua au mbinu gani unaweza kufanya kupunguza gharama zisizo za lazima?
RAMANI hii hapaRaman hii hapaView attachment 2266648
Vumilia ndg, utaepuka mengi yanayofanana na Yale ya Moshi.Wakuu hivi ni lazima kusubili Kwa siku 21 ukishamwaga slab ndo kazi zingine ziendelee? Mbona naona ninsiku nyingi mno bika sababu, wataalam nishauri tafadhali