Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

Habarini wakuu. Niende moja kwa moja kwenye topic. Wakuu nina nyumba yangu ipo hatua ya finishing ina square meter 206. Kwa vile sipo karibu nikamuomba fundi anipe makadirio ya tiles na akaniletea makadirio kama ifuatavyo

50×50 box 118
40x40 box 11
25×40 box 82
Skating box 11

Nataka niweke tiles ambazo ni za bei ya kawaida ambazo zinadumu. Naombeni ushauri niweke zipi? Na naombeni bei ya box tajwa hapo juu nijiandae maana hadi kichwa inapata moto kila nikiwaza bado aluminium, skimming na mauchafu mengine.

Pia naomba kujua kama kuna uwezekano nikapata sehemu nikawa nalipa kidogo kidogo maana hela haikai.

Natanguliza shukrani
50” ni 28500 x 118 = 3,277,500
40” ni 24500 x 11 = 269,500
25” ni 17500 x 82 = 1,435,000
Skating ni 28,000x11= 308,000

Total 5,289,500
 
Hii hesabu Nina mashaka nayo,
On average room moja kubwa ni 11-12 SQM,
Hapa inamaanisha nyumba yako ni room 10, plus uchafu mwingine kama sebule, dining, koriido, vyoo letsay 10, n.k

Hebu angalia vzr, hizo hesau.

Alternatively, tafuta fundi mwingine aaangalie kazi, akupigie hesabu yake, Patana naye kazi, halafu mwambie ukiwa tayar utamwita.

Mpe buku 10 ya usafiri,
Then kaa Chini compare material plus ufundi
 
Hongera na pole kwa huu mziki mnene unaokusubiri.. Sina hakika na hiyo idadi pengine nyumba ni kubwa mimi nakupa tu makadirio
50 kwa 50 ni kati ya 40,000 mpaka 60,000
40 kwa 40 ni kati ya 35,000 mpaka 45,000
25 kwa 40 ni kati ya 30,000 mpaka 40,000
Skating ni kati ya 32, 000 mpaka 37,0000

Ushauri wangu
1.Anza na sehemu nyeti kama sebuleni vyooni, na koridoni nk

2. Kuna baadhi ya maeneo weka zile zinazoitwa grade B kwa maana ya kwamba zimemeguka kidogo kwenye pembe ama rangi haikakolea kivile nk
Wengi huokoa gharama mpaka 40% kwa kutumia hizo na huwezi kujua kwakuwa kama unaweka 50 kwa 50 unanunua 60 kwa 60 kisha fundi anazi size kuwa 50 kwa 50 na kuondoa mapengo yote
Kuna uhuni mkubwa kwenye hii biashara kwakuwa baadhi ya wauzaji huchukua grade B na kuzi size na kuuza bei ya punguzo ambalo sio kubwa.. Na mafundi nao hufanya hivyo ukiwapa hela

3. Pata mtu wa kiwandani ama wa sales ambaye ana wateja wa jumla ili akuchomeke kwa wateja wake upate kwa bei ya jumla

Ukihitaji msaada zaidi nicheki.. Nina madirisha na milango ya PVC used ya ulaya very high quality na ni double glass kwa bei ya kutupa
Milango ya ndani pia ninayo
Nikiwa tayari nitakutafuta mkuu
 
Hii hesabu Nina mashaka nayo,
On average room moja kubwa ni 11-12 SQM,
Hapa inamaanisha nyumba yako ni room 10, plus uchafu mwingine kama sebule, dining, koriido, vyoo letsay 10, n.k

Hebu angalia vzr, hizo hesau.

Alternatively, tafuta fundi mwingine aaangalie kazi, akupigie hesabu yake, Patana naye kazi, halafu mwambie ukiwa tayar utamwita.

Mpe buku 10 ya usafiri,
Then kaa Chini compare material plus ufundi
QUOTE="DIKASHWA, post: 42311507, member: 378884"]
It is possible me nyumba yangu ina room 4 dinning, sebre , jiko , toilets 2 vibaraza 2 , kiuno cha nyumba total sq ni 243
Uzuri wa namba hazidanganyi, pia hzo square mita aongeze kama boksi kadhaa za kukatwa katwa hazina sehemu ya kufit pia kwenye mabokisi unaweza kukuta kuna baadhi ukifungua unakuta zimepasuka pasuka
 
QUOTE="DIKASHWA, post: 42311507, member: 378884"]
It is possible me nyumba yangu ina room 4 dinning, sebre , jiko , toilets 2 vibaraza 2 , kiuno cha nyumba total sq ni 243
Uzuri wa namba hazidanganyi, pia hzo square mita aongeze kama boksi kadhaa za kukatwa katwa hazina sehemu ya kufit pia kwenye mabokisi unaweza kukuta kuna baadhi ukifungua unakuta zimepasuka pasuka
Kwenye box si wanaandikaga inajenga sqmt ngapi

Ova
 
Hongera na pole kwa huu mziki mnene unaokusubiri.. Sina hakika na hiyo idadi pengine nyumba ni kubwa mimi nakupa tu makadirio
50 kwa 50 ni kati ya 40,000 mpaka 60,000
40 kwa 40 ni kati ya 35,000 mpaka 45,000
25 kwa 40 ni kati ya 30,000 mpaka 40,000
Skating ni kati ya 32, 000 mpaka 37,0000

Ushauri wangu
1.Anza na sehemu nyeti kama sebuleni vyooni, na koridoni nk

2. Kuna baadhi ya maeneo weka zile zinazoitwa grade B kwa maana ya kwamba zimemeguka kidogo kwenye pembe ama rangi haikakolea kivile nk
Wengi huokoa gharama mpaka 40% kwa kutumia hizo na huwezi kujua kwakuwa kama unaweka 50 kwa 50 unanunua 60 kwa 60 kisha fundi anazi size kuwa 50 kwa 50 na kuondoa mapengo yote
Kuna uhuni mkubwa kwenye hii biashara kwakuwa baadhi ya wauzaji huchukua grade B na kuzi size na kuuza bei ya punguzo ambalo sio kubwa.. Na mafundi nao hufanya hivyo ukiwapa hela

3. Pata mtu wa kiwandani ama wa sales ambaye ana wateja wa jumla ili akuchomeke kwa wateja wake upate kwa bei ya jumla

Ukihitaji msaada zaidi nicheki.. Nina madirisha na milango ya PVC used ya ulaya very high quality na ni double glass kwa bei ya kutupa
Milango ya ndani pia ninayo
We Mshana mpaka madirisha nayo used yapo? Kwamba Nyumba imebomolewa ndio ukaokota?
 
Mkuu hii ni 60*60 bei yake ndo zinaanza kwa 36000 grade A mpk 30000 grade C

50*50 huwezi pata kwa bei hiyo sasahivi labda reject
50*50 zinaanza 41000 grade A mpaka 37000 grade C
Grade A inakuwa na sifa gani na B and C zinakuwaje?
 
Back
Top Bottom