Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kuna jamaa alinipeleka kwa wale Spanish tiles maeneo ya Victoria daah! Vipi ubora wao? Ila bei imechangamkaTywford wana tiles viwango sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa alinipeleka kwa wale Spanish tiles maeneo ya Victoria daah! Vipi ubora wao? Ila bei imechangamkaTywford wana tiles viwango sana
Si wabaya piaKuna jamaa alinipeleka kwa wale Spanish tiles maeneo ya Victoria daah! Vipi ubora wao? Ila bei imechangamka
Sawa, hivi Twyford wanazo hizi strip floor tiles naona zinanoga sana ukipiga living room na dining room na strip wall tiles kwa ajili ya kitchen, na wash room? Mshana JrSi wabaya pia
No omba namba yako kuna mtu anataka madirisha ya pvc pleaseHongera na pole kwa huu mziki mnene unaokusubiri.. Sina hakika na hiyo idadi pengine nyumba ni kubwa mimi nakupa tu makadirio
50 kwa 50 ni kati ya 40,000 mpaka 60,000
40 kwa 40 ni kati ya 35,000 mpaka 45,000
25 kwa 40 ni kati ya 30,000 mpaka 40,000
Skating ni kati ya 32, 000 mpaka 37,0000
Ushauri wangu
1.Anza na sehemu nyeti kama sebuleni vyooni, na koridoni nk
2. Kuna baadhi ya maeneo weka zile zinazoitwa grade B kwa maana ya kwamba zimemeguka kidogo kwenye pembe ama rangi haikakolea kivile nk
Wengi huokoa gharama mpaka 40% kwa kutumia hizo na huwezi kujua kwakuwa kama unaweka 50 kwa 50 unanunua 60 kwa 60 kisha fundi anazi size kuwa 50 kwa 50 na kuondoa mapengo yote
Kuna uhuni mkubwa kwenye hii biashara kwakuwa baadhi ya wauzaji huchukua grade B na kuzi size na kuuza bei ya punguzo ambalo sio kubwa.. Na mafundi nao hufanya hivyo ukiwapa hela
3. Pata mtu wa kiwandani ama wa sales ambaye ana wateja wa jumla ili akuchomeke kwa wateja wake upate kwa bei ya jumla
Ukihitaji msaada zaidi nicheki.. Nina madirisha na milango ya PVC used ya ulaya very high quality na ni double glass kwa bei ya kutupa
Milango ya ndani pia ninayo
Mshana Jr. Kwema brother? Hizo pvc na mengineyo bado unayo?Hongera na pole kwa huu mziki mnene unaokusubiri.. Sina hakika na hiyo idadi pengine nyumba ni kubwa mimi nakupa tu makadirio
50 kwa 50 ni kati ya 40,000 mpaka 60,000
40 kwa 40 ni kati ya 35,000 mpaka 45,000
25 kwa 40 ni kati ya 30,000 mpaka 40,000
Skating ni kati ya 32, 000 mpaka 37,0000
Ushauri wangu
1.Anza na sehemu nyeti kama sebuleni vyooni, na koridoni nk
2. Kuna baadhi ya maeneo weka zile zinazoitwa grade B kwa maana ya kwamba zimemeguka kidogo kwenye pembe ama rangi haikakolea kivile nk
Wengi huokoa gharama mpaka 40% kwa kutumia hizo na huwezi kujua kwakuwa kama unaweka 50 kwa 50 unanunua 60 kwa 60 kisha fundi anazi size kuwa 50 kwa 50 na kuondoa mapengo yote
Kuna uhuni mkubwa kwenye hii biashara kwakuwa baadhi ya wauzaji huchukua grade B na kuzi size na kuuza bei ya punguzo ambalo sio kubwa.. Na mafundi nao hufanya hivyo ukiwapa hela
3. Pata mtu wa kiwandani ama wa sales ambaye ana wateja wa jumla ili akuchomeke kwa wateja wake upate kwa bei ya jumla
Ukihitaji msaada zaidi nicheki.. Nina madirisha na milango ya PVC used ya ulaya very high quality na ni double glass kwa bei ya kutupa
Milango ya ndani pia ninayo
Zipo nitafanya maarifa nizifikie nikuchekiMshana Jr. Kwema brother? Hizo pvc na mengineyo bado unayo?
Sawa mkuuZipo nitafanya maarifa nizifikie nikucheki
Habari mkuu. Naomba kama unaweza kuniunganisha na wauzaji wa hizi tiles za grade B. Pia ningependa kujua kama bado unayo madirisha na milango used ya PVC.Hongera na pole kwa huu mziki mnene unaokusubiri.. Sina hakika na hiyo idadi pengine nyumba ni kubwa mimi nakupa tu makadirio
50 kwa 50 ni kati ya 40,000 mpaka 60,000
40 kwa 40 ni kati ya 35,000 mpaka 45,000
25 kwa 40 ni kati ya 30,000 mpaka 40,000
Skating ni kati ya 32, 000 mpaka 37,0000
Ushauri wangu
1.Anza na sehemu nyeti kama sebuleni vyooni, na koridoni nk
2. Kuna baadhi ya maeneo weka zile zinazoitwa grade B kwa maana ya kwamba zimemeguka kidogo kwenye pembe ama rangi haikakolea kivile nk
Wengi huokoa gharama mpaka 40% kwa kutumia hizo na huwezi kujua kwakuwa kama unaweka 50 kwa 50 unanunua 60 kwa 60 kisha fundi anazi size kuwa 50 kwa 50 na kuondoa mapengo yote
Kuna uhuni mkubwa kwenye hii biashara kwakuwa baadhi ya wauzaji huchukua grade B na kuzi size na kuuza bei ya punguzo ambalo sio kubwa.. Na mafundi nao hufanya hivyo ukiwapa hela
3. Pata mtu wa kiwandani ama wa sales ambaye ana wateja wa jumla ili akuchomeke kwa wateja wake upate kwa bei ya jumla
Ukihitaji msaada zaidi nicheki.. Nina madirisha na milango ya PVC used ya ulaya very high quality na ni double glass kwa bei ya kutupa
Milango ya ndani pia ninayo
Unahitaji box ngap izo grade BHabari mkuu. Naomba kama unaweza kuniunganisha na wauzaji wa hizi tiles za grade B. Pia ningependa kujua kama bado unayo madirisha na milango used ya PVC.
Ahsante.
500m x 500m !!!???Ukubwa wa 500m x 500m mean 50*50 zinakaa 7 kwa box
Ukubwa wa 400m x 400m mean 40*40 zinakaa 12 per box
Kuna 250m x 400m mean 25*40 zinakaa 15 per box
Floor tiles,Habari mkuu. Naomba kama unaweza kuniunganisha na wauzaji wa hizi tiles za grade B. Pia ningependa kujua kama bado unayo madirisha na milango used ya PVC.
Ahsante.
Ok poa poa madirisha na milango nadhani imebaki michache takupa jibu kesho pamoja na tilesHabari mkuu. Naomba kama unaweza kuniunganisha na wauzaji wa hizi tiles za grade B. Pia ningependa kujua kama bado unayo madirisha na milango used ya PVC.
Ahsante.
Kumbe kuna tiles grade B :- nashukur nimeongeza kujua ktu ili kubana matumiz huko mbelenHizi 25 kwa 40 ni Tsh 22000View attachment 2164539
Mkuu samahani , Box moja la 50*50 linakuwa na piece ngapi ndani?Hizi hapa ni 50 kwa 50 bei ni Tsh 32,000 kwa boxView attachment 2164536View attachment 2164537View attachment 2164538
7Mkuu samahani , Box moja la 50*50 linakuwa na piece ngapi ndani?
Floor tiles,
40 x 40 Goodwill,
Zinakaa 12 kwenye Box,
21,500/-
0784772061.
40 x 40 Twyfod,
Zinakaa 12 kwenye Box,
23,500/-
0622088300