Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

50” ni 28500 x 118 = 3,277,500
40” ni 24500 x 11 = 269,500
25” ni 17500 x 82 = 1,435,000
Skating ni 28,000x11= 308,000

Total 5,289,500
 
Hii hesabu Nina mashaka nayo,
On average room moja kubwa ni 11-12 SQM,
Hapa inamaanisha nyumba yako ni room 10, plus uchafu mwingine kama sebule, dining, koriido, vyoo letsay 10, n.k

Hebu angalia vzr, hizo hesau.

Alternatively, tafuta fundi mwingine aaangalie kazi, akupigie hesabu yake, Patana naye kazi, halafu mwambie ukiwa tayar utamwita.

Mpe buku 10 ya usafiri,
Then kaa Chini compare material plus ufundi
 
Nikiwa tayari nitakutafuta mkuu
 
QUOTE="DIKASHWA, post: 42311507, member: 378884"]
It is possible me nyumba yangu ina room 4 dinning, sebre , jiko , toilets 2 vibaraza 2 , kiuno cha nyumba total sq ni 243
Uzuri wa namba hazidanganyi, pia hzo square mita aongeze kama boksi kadhaa za kukatwa katwa hazina sehemu ya kufit pia kwenye mabokisi unaweza kukuta kuna baadhi ukifungua unakuta zimepasuka pasuka
 
Kwenye box si wanaandikaga inajenga sqmt ngapi

Ova
 
We Mshana mpaka madirisha nayo used yapo? Kwamba Nyumba imebomolewa ndio ukaokota?
 
Mkuu hii ni 60*60 bei yake ndo zinaanza kwa 36000 grade A mpk 30000 grade C

50*50 huwezi pata kwa bei hiyo sasahivi labda reject
50*50 zinaanza 41000 grade A mpaka 37000 grade C
Grade A inakuwa na sifa gani na B and C zinakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…