Kuanzisha kampuni ya tours ni muhimu kwanza ufahamu tourism vizuri au utatumia pesa nyingi na faida kidogo.
1. Umewahi kufanya kazi au una experience ya safaris, excursions hapa Tanzania & Zanzibar?
2. Kusajili kampuni ya tour na kupata wageni ni vitu viwili tofauti. Je ushawahi kupata wageni na uka arrange nao tours/excursion/safaris
Hapo ukijibu Vizuri nadhani tutaendelea
NB: utalii unapesa nyingi bahati ikija kwako
....
Huu ushauri ni poa saana,
na anatakiwa atambue sio rahisi kihivyo, angesoma kwa waliofanikiwa....mimi mara nyingi nawashauri
1. Tafutata mtu anayefanya hii biashara au mtafute mtu ambaye kaajiriwa hususani kwa makampuni makubwa awe mshauri wako,, hii itakusaidia
2. Kama huna mtaji usisajili kampuni wapo watu kibao wanamakampuni na magari hawana wateje tumia majina ya kampuni Zao kwa kukodisha anZa kufanya biashara
3,tafuta makundi yako ya wageni both inside and outside ukipata hata kundi moja la nje ndio fikiria kuusajili
wakati unasajili uwe na ufahamu ndio utatakiwa ulipe kodi na compliance kibao, kama huna mtaji...uhakika wa kupata wageni utajichosha saana
Tambua wapo ma giant kwa game , wana pesa connection wageni na kadhalika, wanao ubavu wa kublock room Zote Za hotel kipindi cha peak seasons hata kama unawageni wako hutopata pa kuwalaZa...ukiwa ni mtu amabaye unajua haya mambo ni rahisi kupambana na hiZi changamoto
Kikubwa nikutakie kila la kheri
chamuhimu jifunZe changamoto Za waliokutangulia jitahidi usiZirudie utasonga mbele
kila la kheri
waslaam