Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

Vitiligo husababishwa na upungufu/ukosefu wa pigment inayoitwa Melanin anbayo huzalishwa na cell za ngozi ziitwazo melanocytes (Melanin ndio huipa ngozi yako rangi iliyonayo).

So mtu huanza kupata vitiligo (mabaka meupe kwenye ngozi), pale ambapo cell zake za ngozi melanocytes zimepungukiwa uwezo wa kuzalisha melanin za kutosha kwenye ngozi.
tuendelee kidogo mkuu kwahiyo unaambukiza?
 
tuendelee kidogo mkuu kwahiyo unaambukiza?
Hapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.

Magonjwa yanayosababishwa na virus, bacteria au germs ndio yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Huwezi kusikia mtu amemuambukiza mwenzake cancer au vitiligo au kisukari.
 
Hapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.

Magonjwa yanayosababishwa na virus, bacteria au germs ndio yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Huwezi kusikia mtu amemuambukiza mwenzake cancer au vitiligo au kisukari.
asante ubarikiwe sana 🙏

kwahiyo huu ugonjwa unafananiana na ukoma?

nisamehe kwakukuchosha.
 
Nina tatizo la kusahau sahau sana na sijui hili tatizo limeanza lini?
Hii inatokana na nini Chaliifrancisco?
Labda una ujauzito.

Kama sio utakuwa na IQ kubwa sana maana ubongo unatumika kuweka tu info za maana na mambo yasiyokuwa ya msingi yanafutiliwa mbali ndio maana unayasahau. (Joke)😂😂
 
Labda una ujauzito.

Kama sio utakuwa na IQ kubwa sana maana ubongo unatumika kuweka tu info za maana na mambo yasiyokuwa ya msingi yanafutiliwa mbali ndio maana unayasahau. (Joke)😂😂
Sina ujauzito wala, hiyo inshu ni kweli nina vitabu vingi hata Sahiv sivisomi maana baada ya muda nasahau nikichosoma napenda sana kuandika makala na wakati mwingine napanga kabisa kesho ntaandika kitu fulani sasa basi nisipoandika kwenye notebook au karatasi yoyote ili niweke sehemu ntakayoona basi nasahau kufanya hiyo kazi 😢😢😢
 
Sina ujauzito wala, hiyo inshu ni kweli nina vitabu vingi hata Sahiv sivisomi maana baada ya muda nasahau nikichosoma napenda sana kuandika makala na wakati mwingine napanga kabisa kesho ntaandika kitu fulani sasa basi nisipoandika kwenye notebook au karatasi yoyote ili niweke sehemu ntakayoona basi nasahau kufanya hiyo kazi 😢😢😢
Unaweza kuwa na stress, anxiety! Au unatumia sana mambo yetu yale.
 
image-removebg-preview.png
 
Vitiligo husababishwa na upungufu/ukosefu wa pigment inayoitwa Melanin anbayo huzalishwa na cell za ngozi ziitwazo melanocytes (Melanin ndio huipa ngozi yako rangi iliyonayo).

So mtu huanza kupata vitiligo (mabaka meupe kwenye ngozi), pale ambapo cell zake za ngozi melanocytes zimepungukiwa uwezo wa kuzalisha melanin za kutosha kwenye ngozi.
Maelezo mazuri haya.
 
Hapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.

Magonjwa yanayosababishwa na virus, bacteria au germs ndio yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Huwezi kusikia mtu amemuambukiza mwenzake cancer au vitiligo au kisukari.
Ahsante Kwa somo, maana tuliambiwa unaambukiza km mkigusana.
 
Habari za asubuhi waungwana wote hapa, Yupo ndugu yangu ameanza kuwa mweupe katika sehemu mbalimbali za mwili wake, weupe unaofanania kama wa zeruzeru vidoleni na miguuni.

Je, huu ni ugonjwa gani na husababishwa na kitu gani au ukosefu wa madini gani na tiba kamili ni ipi?

#Thanks you.
Unaitwa vitiligo, u-gugu ujisomee.
 
Back
Top Bottom