Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

Sina ujauzito wala, hiyo inshu ni kweli nina vitabu vingi hata Sahiv sivisomi maana baada ya muda nasahau nikichosoma napenda sana kuandika makala na wakati mwingine napanga kabisa kesho ntaandika kitu fulani sasa basi nisipoandika kwenye notebook au karatasi yoyote ili niweke sehemu ntakayoona basi nasahau kufanya hiyo kazi [emoji22][emoji22][emoji22]
Nenda hospital isijekuwa umeanza kupata ugonjwa wa kusahau (dementia).
 

UFAHAMU UGONJWA WA VITILIGO
Vitiligo ni ugonjwa ambao unaathiri ngozi,unaotokana na kuharibiwa kwa cells za kutengeneza rangi ya ngozi zinazojulikana kama (melanocytes). Chanzo halisi cha celi hizi kushambuliwa bado hakijajulikana kitaalam, hivyo Wataalam Wengi kupata ugumu wa kujua tiba sahihi ya ugonjwa huu.Tatizo hili la ugonjwa wa ngozi kwa anaye hitaji dawa za kienyeji ambazo zina uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa ugonjwa huu hatari wasiliana nami kwa +255766950256
tuendelee kidogo mkuu kwahiyo unaambukiza?

asante ubarikiwe sana 🙏

kwahiyo huu ugonjwa unafananiana na ukoma?

nisamehe kwakukuchosha.
 
Vitiligo, wahi kwa wataalamu wa ngozi.

UFAHAMU UGONJWA WA VITILIGO
Vitiligo ni ugonjwa ambao unaathiri ngozi,unaotokana na kuharibiwa kwa cells za kutengeneza rangi ya ngozi zinazojulikana kama (melanocytes). Chanzo halisi cha celi hizi kushambuliwa bado hakijajulikana kitaalam, hivyo Wataalam Wengi kupata ugumu wa kujua tiba sahihi ya ugonjwa huu.Tatizo hili la ugonjwa wa ngozi kwa anaye hitaji dawa za kienyeji ambazo zina uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa ugonjwa huu hatari wasiliana nami kwa +255766950256
 
Back
Top Bottom