tuendelee kidogo mkuu kwahiyo unaambukiza?Vitiligo husababishwa na upungufu/ukosefu wa pigment inayoitwa Melanin anbayo huzalishwa na cell za ngozi ziitwazo melanocytes (Melanin ndio huipa ngozi yako rangi iliyonayo).
So mtu huanza kupata vitiligo (mabaka meupe kwenye ngozi), pale ambapo cell zake za ngozi melanocytes zimepungukiwa uwezo wa kuzalisha melanin za kutosha kwenye ngozi.
Hapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.tuendelee kidogo mkuu kwahiyo unaambukiza?
asante ubarikiwe sana πHapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.
Magonjwa yanayosababishwa na virus, bacteria au germs ndio yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Huwezi kusikia mtu amemuambukiza mwenzake cancer au vitiligo au kisukari.
Ni tofauti. Huo ndugu yake wa damu ni ualbino.asante ubarikiwe sana π
kwahiyo huu ugonjwa unafananiana na ukomaοΌ
nisamehe kwakukuchosha.
shukrani mkuu!πNi tofauti. Huo ndugu yake wa damu ni ualbino.
Ukoma kwanza ni ugonjwa wa kuambukiza.
Nina tatizo la kusahau sahau sana na sijui hili tatizo limeanza lini?Ni tofauti. Huo ndugu yake wa damu ni ualbino.
Ukoma kwanza ni ugonjwa wa kuambukiza.
Labda una ujauzito.Nina tatizo la kusahau sahau sana na sijui hili tatizo limeanza lini?
Hii inatokana na nini Chaliifrancisco?
Sina ujauzito wala, hiyo inshu ni kweli nina vitabu vingi hata Sahiv sivisomi maana baada ya muda nasahau nikichosoma napenda sana kuandika makala na wakati mwingine napanga kabisa kesho ntaandika kitu fulani sasa basi nisipoandika kwenye notebook au karatasi yoyote ili niweke sehemu ntakayoona basi nasahau kufanya hiyo kazi π’π’π’Labda una ujauzito.
Kama sio utakuwa na IQ kubwa sana maana ubongo unatumika kuweka tu info za maana na mambo yasiyokuwa ya msingi yanafutiliwa mbali ndio maana unayasahau. (Joke)ππ
Unaweza kuwa na stress, anxiety! Au unatumia sana mambo yetu yale.Sina ujauzito wala, hiyo inshu ni kweli nina vitabu vingi hata Sahiv sivisomi maana baada ya muda nasahau nikichosoma napenda sana kuandika makala na wakati mwingine napanga kabisa kesho ntaandika kitu fulani sasa basi nisipoandika kwenye notebook au karatasi yoyote ili niweke sehemu ntakayoona basi nasahau kufanya hiyo kazi π’π’π’
Maelezo mazuri haya.Vitiligo husababishwa na upungufu/ukosefu wa pigment inayoitwa Melanin anbayo huzalishwa na cell za ngozi ziitwazo melanocytes (Melanin ndio huipa ngozi yako rangi iliyonayo).
So mtu huanza kupata vitiligo (mabaka meupe kwenye ngozi), pale ambapo cell zake za ngozi melanocytes zimepungukiwa uwezo wa kuzalisha melanin za kutosha kwenye ngozi.
Ahsante Kwa somo, maana tuliambiwa unaambukiza km mkigusana.Hapana mkuu vitiligo sio ugonjwa wa kuambukiza. Kwasababu sio ugonjwa unaosababishwa na kirusi au bacteria.
Magonjwa yanayosababishwa na virus, bacteria au germs ndio yanaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Huwezi kusikia mtu amemuambukiza mwenzake cancer au vitiligo au kisukari.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hahaha imani tu za watu weusi. Hivi ukimgusa albino na wewe anakuambukiza unakuwa albino?Ahsante Kwa somo, maana tuliambiwa unaambukiza km mkigusana.
Unaweza kuwa na stress, anxiety! Au unatumia sana mambo yetu yale.
Umenikomalia kinyama yani kama vile mimi ni doctor. πTiba yake ni nini Chaliifrancisco?
Umenikomalia kinyama yani kama vile mimi ni doctor. π
Unaitwa vitiligo, u-gugu ujisomee.Habari za asubuhi waungwana wote hapa, Yupo ndugu yangu ameanza kuwa mweupe katika sehemu mbalimbali za mwili wake, weupe unaofanania kama wa zeruzeru vidoleni na miguuni.
Je, huu ni ugonjwa gani na husababishwa na kitu gani au ukosefu wa madini gani na tiba kamili ni ipi?
#Thanks you.