Loimata
JF-Expert Member
- Dec 1, 2022
- 749
- 1,741
Habari ya usiku wakuu,
Natamani kupata ka vaccation kidogo nipunguze machungu ya hii dunia.
Nimekua nikitamani kwenda Dubai na kwa mambo ninayopitia naona kama huu ndio wakati muafaka wa kwenda huko nikiamini nitafurahi kidogo na kusahau kidogo mateso ya dunia hii.
So wakuu hiyo pesa itatosha kwa watu wazima wawili na mtoto? Kama itatosha, je itatosha kwa muda gani?
Pia naomba miongozo ya mfano hotel nzuri za bei nafuu na vitu kama hivyo.
DOS and DONTs nk.
Mbarikiwe sana🙏
Natamani kupata ka vaccation kidogo nipunguze machungu ya hii dunia.
Nimekua nikitamani kwenda Dubai na kwa mambo ninayopitia naona kama huu ndio wakati muafaka wa kwenda huko nikiamini nitafurahi kidogo na kusahau kidogo mateso ya dunia hii.
So wakuu hiyo pesa itatosha kwa watu wazima wawili na mtoto? Kama itatosha, je itatosha kwa muda gani?
Pia naomba miongozo ya mfano hotel nzuri za bei nafuu na vitu kama hivyo.
DOS and DONTs nk.
Mbarikiwe sana🙏