Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
hiyi hela ningepata mm pisi zote nchin zingenikoma kama teni unakula pisi moja matata vuta picha m10 ina teni ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
osie waahenya iwewee☹️Ukihitaji mlinzi binafsi wa kwenda naye huko Dubai, nipo hapa. Nichukue nafasi ya huyo mtu mzima mwingine. Nina uzoefu wa miaka mingi kwenye hii fani.
Ukiamini kia nicheandika umu, wadaha kuagha sia.osie waahenya iwewee☹️
Sasa jombaa maisha ya wazungu unafananisha na waafrika?Hata sijasoma Uzi Hila nimependa title tu. Watz hatuna kasumba ya kutembea. Wengi tukipata pesa tunakimbilia kujenga au kuinvest. Tuna uoga na maisha.
Kwenye hata maisha Ili ujione umeishi angalau utembee hata nchi 20 uone mambo mapya ya maisha. Wazungu wanalijua Ili Leo hii wametembea Africa nzima. Sisi hata waafrica tunafikiria hatujui maisha ya kuspend.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣haya mosie.Ukiamini kia nicheandika umu, wadaha kuagha sia.
hiyi hela ningepata mm pisi zote nchin zingenikoma kama teni unakula pisi moja matata vuta picha m10 ina teni ngapi?
😮😂hiyi hela ningepata mm pisi zote nchin zingenikoma kama teni unakula pisi moja matata vuta picha m10 ina teni ngapi?