Naomba kujuzwa kama TSh milioni 10 inatosha kwenda kutembea Dubai

Naomba kujuzwa kama TSh milioni 10 inatosha kwenda kutembea Dubai

hiyi hela ningepata mm pisi zote nchin zingenikoma kama teni unakula pisi moja matata vuta picha m10 ina teni ngapi?
 
Fata maelezo ya mamasamia hapo juu utaenjoy na chenji inabakii
 
Hata sijasoma Uzi Hila nimependa title tu. Watz hatuna kasumba ya kutembea. Wengi tukipata pesa tunakimbilia kujenga au kuinvest. Tuna uoga na maisha.

Kwenye hata maisha Ili ujione umeishi angalau utembee hata nchi 20 uone mambo mapya ya maisha. Wazungu wanalijua Ili Leo hii wametembea Africa nzima. Sisi hata waafrica tunafikiria hatujui maisha ya kuspend.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sasa jombaa maisha ya wazungu unafananisha na waafrika?
Mwafrika nyumba anajenga akiwa na miaka 35 tena hapo kakaza kweli kweli otherwise anaweza gonga 45 ndio kwanza kaweka msingi, halafu apate 20m atumie kusafiri kutalii?
 
Back
Top Bottom