CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Hivi za ruwasa wanaweza kuajiriwa mazima?Dah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa...
Juu ni uko juu mkuu..Ukiziangalia sayari zilivyo kwenye orbit, unaweza kuniambia juu ni wapi?
Nenda ukifaulu practical lzm upateHv juzi kati hao TRC wametoa nafasi kwa kada tofauti nadhani hata deadline yake haijafika bado vipi uliomba?
Mie nliomba ila sidhani hata kama nikiitwa usaijili nitaenda nisije nikachoma nauli yangu bure ukizingatia nafasi zenyewe 8 tu kwa civil engineers huku kumbe zina wenyewe aaah hii nchi ngumu hii.
Kuna mwamba kanambia Trc 3 inafika 1m
Tena imepand juzi πππMmm kaka kakuongopea ni 630000/=
iyo take home au grossMmm kaka kakuongopea ni 630000/=
Wametangaza hii kazi au?wadau wa trc ivi hii kazi ya assistant commercial officer( train guard) ni kazi gani ? unakua unasafiri na train au
Take homeiyo take home au gross
Yah ni guard unakaa nyuma kweny break ila si haba utalipwa mileage na OT so mshahara sio chini ya 1mwadau wa trc ivi hii kazi ya assistant commercial officer( train guard) ni kazi gani ? unakua unasafiri na train au
wadau wa trc ivi hii kazi ya assistant commercial officer( train guard) ni kazi gani ? unakua unasafiri na train au
Yaani braza hata hujaingia kazini ila unaulizia mshahara wa ukuu wa kitengo..!!!Halmashaur wakuu wa vitengo allowance si zipo ??
na dedline ilikua marcha tarehe 30 nafasi 7 tuWametangaza hii kazi au?