Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 320
watoto wa mama hao wamezaliwa na kijiko cha silva alafu wakakimbilia Dar wanajinadi ni wa arusha...hao ni waarusha hewasasa mbona wakina Joh Makini hawana ngeo, waliishije huko bila kupigwa beto
Pemba...KilwaArusha, Tarime, Zanzibar KOTE HAWAFIKI
Ningekuwa mimi ndo ruge, ningeifikisha Fiesta kila mkoa wa tanzania, au zaidi ya mikoa 28 dadeQPemba...Kilwa
huwajui weusi wewe unasema uongo.watoto wa mama hao wamezaliwa na kijiko cha silva alafu wakakimbilia Dar wanajinadi ni wa arusha...hao ni waarusha hewa
fatilia matanzago fiesta arusha ni tarehe 1 OctoberDu hata siamini kama mwaka huu wataenda arachuga jamani
Sent from my SM-T116 using JamiiForums mobile app
Wewe Mkoa wa Singida sio mdogo kama unavyodhania. Inaonekana upo nyuma sana kwa habari za tz au huna gari ya kutembelea unapoenda mikoani so unaishia kuona stand ya bus na barabarani tu. Kwa taarifa yako mkoa wa Singida kwa sasa upo juu ya mikoa mingi sana hapa tz.Nakumbuka iliwahi kwenda huko miaka ya nyuma ila wakaacha, wanaishia Moshi tu.Kama tuonavyo kwa sasa Fiesta inaenda mikoa mingi hadi mikoa midogo kama Singida na baadhi ya wilaya kama Kahama na Muleba, so hainiingii akilini ni kwanini waache kwenda mkoa mkubwa wenye fursa kibao kama Arusha. Eti machalii wa R mlimfanya nini Ruge? Au mnamtisha na mibangi yenu?
Ungekaa kimya hakuna ambaye angejua kwamba unaishi kwenye hako kamkoa kadogoAcha ujinga wewe, Mkoa wa Singida sio mdogo kama unavyodhania. Inaonekana upo nyuma sana kwa habari za tz au huna gari ya kutembelea unapoenda mikoani so unaishia kuona stand ya bus na barabarani tu. Kwa taarifa yako mkoa wa Singida kwa sasa upo juu ya mikoa mingi sana hapa tz.
Mimi sina akili timamu? poa hamna noma.Si bure hata wewe mwenyewe nafsi imekusuta, mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika huu upuuzi...
Sasa c bora mkoa mdogo kuliko wewe kusema Arusha hakuna fiesta wakati wkend hii ipo huko. Looks like unaishi porini wewe!Ungekaa kimya hakuna ambaye angejua kwamba unaishi kwenye hako kamkoa kadogo
Na wimbo mmoja wa "" Digi digi"Macharii wa arusha wanapenda zile nyimbo zao,
"Kimbau mbau kanenepa kawa tuku nyema[emoji443] " sasa nyimbo gani hizo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui na nyingine inaimbwa mamong'oo macharee machhaa sijui nn mi sielewi hawa jamaa wa arusha cjui wanatumia bangi kama mboga[emoji23] [emoji23] [emoji23]