Naomba kujuzwa lolote kuhusu Wanawake wa Kimasai. Nataka kuoa mwanamke wa jamii hiyo

Naomba kujuzwa lolote kuhusu Wanawake wa Kimasai. Nataka kuoa mwanamke wa jamii hiyo

Kataa ndoa naomba msome kwa makini sio kila mtu aliyepigwa matukio kwenye mapenzi anakata tamaa jumla. Haya maisha bila kuwa na mwanamke wa kuelewaka mtu utajikuta unalala hadi na kuku au mbuzi kimapenzi au unapiga punyeto hadi mzee wa kazi anasinyaa jumla unakuwa mlemavu wa kudumu mwisho unapigwa moto wa milele huko mbinguni.


Kwa utangulizi iko hivi. Nilioa binti wa watu ndoa ya kanisani kabisa ila tukashindwana kuendelea kwa sababu kadhaa tuna mtoto mmoja miaka 5 ndoa haijavunjwa kwa maana ya talaka ila niko naelelea huko siku sio nyingi.

Saaaasaaaa katika kuvumilia vumilia na umalaya wa hapa na pale nikaona haya sio maisha,ukiangalia mimi ni mmoja kati ya wanaume wale tusiokata tamaa kwa changamoto za kijinga jinga na kwa kusumbuliwa na yale mazoea ya kupata cha adubuhi, cha usiku na cha mchana au muda wowote ule nikaona ni bora nikatafuta mahusiano mengine lasim yatakayokuwa ya kudumu nikitishwa pia na takwimu zenu madaktari zinazoonyesha kati ya watu 20 hapa bongo 7 au 5 wana gonjwa lenu lile baya ukiangalia nina mtoto wa kuangalia anayenitegemea kila kitu na nusu ya malengo yangu mengi kimaisha sijatimiza baaadoooo.

Basi ndugu yenu nikajenga urafiki na mmasai mmoja analinda hapa ofisin kwetu nikawa nauliza hili na lile nikajikuta naulizia uwezekano wa kuoa mmsai, kwanza ameniuliza kama nina ng'ombe zaidi ya 10 au hela ya kununulia ng'ombe 5 nikamjibu sio ishu hiyo, tukaongea mengi ila kubwa zaidi akaniambia mke wa kimasai ni kama mhindi au mwarabu fujo za kiswahili hataki, wazazi wake wanakwambia vyote huyu ni mkeo sio vingine hakuna kumpiga au kumfanyisha kazi labda atake mwenyewe kuchakalika, akanionyesha picha za wale masai walioenda shule aisee ni pisi kali kweli kweli sio kidogo ila mpango wangu ni kupata yule wa bush bushi ili nimpendezeshe mwenyewe.

Sasa wadau kama kuna mtu anajua lolote kuhusu wake wa jamii hii naomba tuambiane kabla sijaingia mzima mzima.
Tafuta hela.
Usikimbilie kupata demu wa kimasai wa bushi huko ukidhania utakwepa gharama za huduma kwa wanawake wa kisasa.
 
Kataa ndoa naomba msome kwa makini sio kila mtu aliyepigwa matukio kwenye mapenzi anakata tamaa jumla. Haya maisha bila kuwa na mwanamke wa kuelewaka mtu utajikuta unalala hadi na kuku au mbuzi kimapenzi au unapiga punyeto hadi mzee wa kazi anasinyaa jumla unakuwa mlemavu wa kudumu mwisho unapigwa moto wa milele huko mbinguni.


Kwa utangulizi iko hivi. Nilioa binti wa watu ndoa ya kanisani kabisa ila tukashindwana kuendelea kwa sababu kadhaa tuna mtoto mmoja miaka 5 ndoa haijavunjwa kwa maana ya talaka ila niko naelelea huko siku sio nyingi.

Saaaasaaaa katika kuvumilia vumilia na umalaya wa hapa na pale nikaona haya sio maisha,ukiangalia mimi ni mmoja kati ya wanaume wale tusiokata tamaa kwa changamoto za kijinga jinga na kwa kusumbuliwa na yale mazoea ya kupata cha adubuhi, cha usiku na cha mchana au muda wowote ule nikaona ni bora nikatafuta mahusiano mengine lasim yatakayokuwa ya kudumu nikitishwa pia na takwimu zenu madaktari zinazoonyesha kati ya watu 20 hapa bongo 7 au 5 wana gonjwa lenu lile baya ukiangalia nina mtoto wa kuangalia anayenitegemea kila kitu na nusu ya malengo yangu mengi kimaisha sijatimiza baaadoooo.

Basi ndugu yenu nikajenga urafiki na mmasai mmoja analinda hapa ofisin kwetu nikawa nauliza hili na lile nikajikuta naulizia uwezekano wa kuoa mmsai, kwanza ameniuliza kama nina ng'ombe zaidi ya 10 au hela ya kununulia ng'ombe 5 nikamjibu sio ishu hiyo, tukaongea mengi ila kubwa zaidi akaniambia mke wa kimasai ni kama mhindi au mwarabu fujo za kiswahili hataki, wazazi wake wanakwambia vyote huyu ni mkeo sio vingine hakuna kumpiga au kumfanyisha kazi labda atake mwenyewe kuchakalika, akanionyesha picha za wale masai walioenda shule aisee ni pisi kali kweli kweli sio kidogo ila mpango wangu ni kupata yule wa bush bushi ili nimpendezeshe mwenyewe.

Sasa wadau kama kuna mtu anajua lolote kuhusu wake wa jamii hii naomba tuambiane kabla sijaingia mzima mzima.
Uwe tayari kukubaliana na eliyekeketwa
 
Mungu anafuatilia kiapo chako ndugu, tubu na uache hiyo dhambi. Mpende mkeo
Mungu huyo huyo alishuhudia changamoto zangu zote, na nilimshirikisha kabisa kwenye maombi kwamba ikiwa hii ndoa haikuwa na baraka zake nilikurupuka kwa tamaa zangu naomba iyeyuke, majibu ndo hayo niliyopata and i am good now.
 
Kataa ndoa naomba msome kwa makini sio kila mtu aliyepigwa matukio kwenye mapenzi anakata tamaa jumla. Haya maisha bila kuwa na mwanamke wa kuelewaka mtu utajikuta unalala hadi na kuku au mbuzi kimapenzi au unapiga punyeto hadi mzee wa kazi anasinyaa jumla unakuwa mlemavu wa kudumu mwisho unapigwa moto wa milele huko mbinguni.


Kwa utangulizi iko hivi. Nilioa binti wa watu ndoa ya kanisani kabisa ila tukashindwana kuendelea kwa sababu kadhaa tuna mtoto mmoja miaka 5 ndoa haijavunjwa kwa maana ya talaka ila niko naelelea huko siku sio nyingi.

Saaaasaaaa katika kuvumilia vumilia na umalaya wa hapa na pale nikaona haya sio maisha,ukiangalia mimi ni mmoja kati ya wanaume wale tusiokata tamaa kwa changamoto za kijinga jinga na kwa kusumbuliwa na yale mazoea ya kupata cha adubuhi, cha usiku na cha mchana au muda wowote ule nikaona ni bora nikatafuta mahusiano mengine lasim yatakayokuwa ya kudumu nikitishwa pia na takwimu zenu madaktari zinazoonyesha kati ya watu 20 hapa bongo 7 au 5 wana gonjwa lenu lile baya ukiangalia nina mtoto wa kuangalia anayenitegemea kila kitu na nusu ya malengo yangu mengi kimaisha sijatimiza baaadoooo.

Basi ndugu yenu nikajenga urafiki na mmasai mmoja analinda hapa ofisin kwetu nikawa nauliza hili na lile nikajikuta naulizia uwezekano wa kuoa mmsai, kwanza ameniuliza kama nina ng'ombe zaidi ya 10 au hela ya kununulia ng'ombe 5 nikamjibu sio ishu hiyo, tukaongea mengi ila kubwa zaidi akaniambia mke wa kimasai ni kama mhindi au mwarabu fujo za kiswahili hataki, wazazi wake wanakwambia vyote huyu ni mkeo sio vingine hakuna kumpiga au kumfanyisha kazi labda atake mwenyewe kuchakalika, akanionyesha picha za wale masai walioenda shule aisee ni pisi kali kweli kweli sio kidogo ila mpango wangu ni kupata yule wa bush bushi ili nimpendezeshe mwenyewe.

Sasa wadau kama kuna mtu anajua lolote kuhusu wake wa jamii hii naomba tuambiane kabla sijaingia mzima mzima.
Nimekaa sana umasaini, nina experience nao sana, ni Kweli wana maadili, wana mashape na wazuri haswaa, ila wagawaji sana, hawajui kukataa. Hii ni kutokana na experience.
 
Back
Top Bottom