Naomba kujuzwa lolote kuhusu Wanawake wa Kimasai. Nataka kuoa mwanamke wa jamii hiyo

Naomba kujuzwa lolote kuhusu Wanawake wa Kimasai. Nataka kuoa mwanamke wa jamii hiyo

Mie mmasai pure ,ila nina touch screen nina mtu wangu mzuri tu. Ananiheshimu.
Uongo huo eti tunaolewa na watu wetu uongo,ni mtu yule aliyekidhi sheria zetu.
IKiwemo heshima,upendo na uaminifu, je unaweza kuua simba??
Simba, mzee baba maana ng'ombe umesema unaweza toa .
Simba???.. naua kama naua panya leta mengine nijiandae vema.
 
Simba???.. naua kama naua panya leta mengine nijiandae vema.
Uwe na pesa tu kwa maana utatoa vingi kwanza ukienda huko kutoa barua ya uchumba lazima uje na pombe za kutosha debe 5 na vitu vya jumla vya kutosha sio sukari kg1 , sijui nini hapana maana hata wao wakioa wanajitoa sana, hata kama mwanamke sio bikra wewe utamkuta ni bikra maana unaenda kuoa kijijini.

Halafu siku unaenda kutoa posa ndio unakuja na pombe zingine debe 10 , ndio utaratibu, halafu mashuka yale yakimasai watakuambia ulete sasa sijajua wazee wapo wangapi, fimbo ya babu wa msichana, khanga za mama na mashangazi, na mama wadogo, pea moja sawa tu ila kwa heshima ni pea 2 kwa kila mmoja , halafu koti lababu , ugoro, kilo za nyama zakuchomwa hiyo siku na utagharamia zote hizo. Kingine blanketi ya babu na bibi, baba na mama, napesa taslim kama huna ng'ombe wakutoa ila lazima dume achinjwe jiandae kama watakubali , kukukaribisha kwenye boma kuna tambiko litafanywa utavaa kimasai .

Hili jingine utapewa baada ya ndoa ikikamilika utakabidhiwa ng'ombe na mbuzi zakutosha kama wana mashamba utapewa kidogo. Halafu ndio Mkaanze maisha yenu. Ila hawapendi mkienda mbali.

Mahari kwa hizo ng'ombe ni ifuatavyo kama anabikra ng'ombe ni 80 ila kwa sasa ni 50 jua hilo, ambaye amezaa ukaamua kumuoa watano tu. Kwa ambaye hana mtoto na anaelimu na hana bikra ni ng'ombe 15 .
Haya kazi kwako sasa
 
Uwe na pesa tu kwa maana utatoa vingi kwanza ukienda huko kutoa barua ya uchumba lazima uje na pombe za kutosha debe 5 na vitu vya jumla vya kutosha sio sukari kg1 , sijui nini hapana maana hata wao wakioa wanajitoa sana, hata kama mwanamke sio bikra wewe utamkuta ni bikra maana unaenda kuoa kijijini.

Halafu siku unaenda kutoa posa ndio unakuja na pombe zingine debe 10 , ndio utaratibu, halafu mashuka yale yakimasai watakuambia ulete sasa sijajua wazee wapo wangapi, fimbo ya babu wa msichana, khanga za mama na mashangazi, na mama wadogo, pea moja sawa tu ila kwa heshima ni pea 2 kwa kila mmoja , halafu koti lababu , ugoro, kilo za nyama zakuchomwa hiyo siku na utagharamia zote hizo. Kingine blanketi ya babu na bibi, baba na mama, napesa taslim kama huna ng'ombe wakutoa ila lazima dume achinjwe jiandae kama watakubali , kukukaribisha kwenye boma kuna tambiko litafanywa utavaa kimasai .

Hili jingine utapewa baada ya ndoa ikikamilika utakabidhiwa ng'ombe na mbuzi zakutosha kama wana mashamba utapewa kidogo. Halafu ndio Mkaanze maisha yenu. Ila hawapendi mkienda mbali.

Mahari kwa hizo ng'ombe ni ifuatavyo kama anabikra ng'ombe ni 80 ila kwa sasa ni 50 jua hilo, ambaye amezaa ukaamua kumuoa watano tu. Kwa ambaye hana mtoto na anaelimu na hana bikra ni ng'ombe 15 .
Haya kazi kwako sasa
Daah.
 
Uwe na pesa tu kwa maana utatoa vingi kwanza ukienda huko kutoa barua ya uchumba lazima uje na pombe za kutosha debe 5 na vitu vya jumla vya kutosha sio sukari kg1 , sijui nini hapana maana hata wao wakioa wanajitoa sana, hata kama mwanamke sio bikra wewe utamkuta ni bikra maana unaenda kuoa kijijini.

Halafu siku unaenda kutoa posa ndio unakuja na pombe zingine debe 10 , ndio utaratibu, halafu mashuka yale yakimasai watakuambia ulete sasa sijajua wazee wapo wangapi, fimbo ya babu wa msichana, khanga za mama na mashangazi, na mama wadogo, pea moja sawa tu ila kwa heshima ni pea 2 kwa kila mmoja , halafu koti lababu , ugoro, kilo za nyama zakuchomwa hiyo siku na utagharamia zote hizo. Kingine blanketi ya babu na bibi, baba na mama, napesa taslim kama huna ng'ombe wakutoa ila lazima dume achinjwe jiandae kama watakubali , kukukaribisha kwenye boma kuna tambiko litafanywa utavaa kimasai .

Hili jingine utapewa baada ya ndoa ikikamilika utakabidhiwa ng'ombe na mbuzi zakutosha kama wana mashamba utapewa kidogo. Halafu ndio Mkaanze maisha yenu. Ila hawapendi mkienda mbali.

Mahari kwa hizo ng'ombe ni ifuatavyo kama anabikra ng'ombe ni 80 ila kwa sasa ni 50 jua hilo, ambaye amezaa ukaamua kumuoa watano tu. Kwa ambaye hana mtoto na anaelimu na hana bikra ni ng'ombe 15 .
Haya kazi kwako sasa
Kijiji gani hicho ndugu, nikafanye utalii wa macho?
 
E bwana eh, urefu wa sketi anayovaaga mwanamke,ndo kipimo cha akili zake. Kubali,kataa,ukweli ndo huo.
Hakuna, kuna baadhi ya walokole wanavaa sketi ndefu ila ni wakorofi na jeuri.
 
Uwe na pesa tu kwa maana utatoa vingi kwanza ukienda huko kutoa barua ya uchumba lazima uje na pombe za kutosha debe 5 na vitu vya jumla vya kutosha sio sukari kg1 , sijui nini hapana maana hata wao wakioa wanajitoa sana, hata kama mwanamke sio bikra wewe utamkuta ni bikra maana unaenda kuoa kijijini.

Halafu siku unaenda kutoa posa ndio unakuja na pombe zingine debe 10 , ndio utaratibu, halafu mashuka yale yakimasai watakuambia ulete sasa sijajua wazee wapo wangapi, fimbo ya babu wa msichana, khanga za mama na mashangazi, na mama wadogo, pea moja sawa tu ila kwa heshima ni pea 2 kwa kila mmoja , halafu koti lababu , ugoro, kilo za nyama zakuchomwa hiyo siku na utagharamia zote hizo. Kingine blanketi ya babu na bibi, baba na mama, napesa taslim kama huna ng'ombe wakutoa ila lazima dume achinjwe jiandae kama watakubali , kukukaribisha kwenye boma kuna tambiko litafanywa utavaa kimasai .

Hili jingine utapewa baada ya ndoa ikikamilika utakabidhiwa ng'ombe na mbuzi zakutosha kama wana mashamba utapewa kidogo. Halafu ndio Mkaanze maisha yenu. Ila hawapendi mkienda mbali.

Mahari kwa hizo ng'ombe ni ifuatavyo kama anabikra ng'ombe ni 80 ila kwa sasa ni 50 jua hilo, ambaye amezaa ukaamua kumuoa watano tu. Kwa ambaye hana mtoto na anaelimu na hana bikra ni ng'ombe 15 .
Haya kazi kwako sasa
Duh vipengele vingi sana waoane wenyewe
 
Kataa ndoa naomba msome kwa makini sio kila mtu aliyepigwa matukio kwenye mapenzi anakata tamaa jumla.

Haya maisha bila kuwa na mwanamke wa kuelewaka mtu utajikuta unalala hadi na kuku au mbuzi kimapenzi au unapiga punyeto hadi mzee wa kazi anasinyaa jumla unakuwa mlemavu wa kudumu mwisho unapigwa moto wa milele huko mbinguni.

Kwa utangulizi iko hivi. Nilioa binti wa watu ndoa ya kanisani kabisa ila tukashindwana kuendelea kwa sababu kadhaa tuna mtoto mmoja miaka 5 ndoa haijavunjwa kwa maana ya talaka ila niko naelelea huko siku sio nyingi.

Saaaasaaaa katika kuvumilia vumilia na umalaya wa hapa na pale nikaona haya sio maisha, ukiangalia mimi ni mmoja kati ya wanaume wale tusiokata tamaa kwa changamoto za kijinga jinga na kwa kusumbuliwa na yale mazoea ya kupata cha adubuhi, cha usiku na cha mchana au muda wowote ule

Nikaona ni bora nikatafuta mahusiano mengine rasmi yatakayokuwa ya kudumu nikitishwa pia na takwimu zenu madaktari zinazoonyesha kati ya watu 20 hapa bongo 7 au 5 wana gonjwa lenu lile baya ukiangalia nina mtoto wa kuangalia anayenitegemea kila kitu na nusu ya malengo yangu mengi kimaisha sijatimiza baaadoooo.

Basi ndugu yenu nikajenga urafiki na mmasai mmoja analinda hapa ofisin kwetu nikawa nauliza hili na lile nikajikuta naulizia uwezekano wa kuoa Mmasai, kwanza ameniuliza kama nina ng'ombe zaidi ya 10 au hela ya kununulia ng'ombe 5 nikamjibu sio ishu hiyo, tukaongea mengi ila kubwa zaidi akaniambia mke wa kimasai ni kama mhindi au mwarabu fujo za kiswahili hataki,

Wazazi wake wanakwambia vyote huyu ni mkeo sio vingine hakuna kumpiga au kumfanyisha kazi labda atake mwenyewe kuchakarika, akanionesha picha za wale masai walioenda shule aisee ni pisi kali kweli kweli sio kidogo ila mpango wangu ni kupata yule wa bush bushi ili nimpendezeshe mwenyewe.

Sasa wadau kama kuna mtu anajua lolote kuhusu wake wa jamii hii naomba tuambiane kabla sijaingia mzima mzima.
Acha kukwepa majukumu,OA kwenu

Huu ujinga wa kuanza kutujazia server humu kuanza kuomba kuelewa makabila yasiyokuhusu wakati muhusika una wewe ni stupidity

On top of that una wajibu wa kuoa kwenu,usipooa kwenu wao waolewe na nani?

Kiazi kabisa
 
Ukienda kule bush kigezo cha kwanza utapimwa kwa uwezo wako kimwili(phisical fitness) kuua simba , pili jiandae kisaikolojia wanawake waki masai wengi wame keketwa hivyo ili akojoe(afike kileleni) lazma umsugue haswa , mwisho kabisa hakuna style nyingine wanayo jua zaidi ya kifo cha mende hawajuagi kujishughulisha akisha lala ame lala mithili ya gogo
 
Uwe na pesa tu kwa maana utatoa vingi kwanza ukienda huko kutoa barua ya uchumba lazima uje na pombe za kutosha debe 5 na vitu vya jumla vya kutosha sio sukari kg1 , sijui nini hapana maana hata wao wakioa wanajitoa sana, hata kama mwanamke sio bikra wewe utamkuta ni bikra maana unaenda kuoa kijijini.

Halafu siku unaenda kutoa posa ndio unakuja na pombe zingine debe 10 , ndio utaratibu, halafu mashuka yale yakimasai watakuambia ulete sasa sijajua wazee wapo wangapi, fimbo ya babu wa msichana, khanga za mama na mashangazi, na mama wadogo, pea moja sawa tu ila kwa heshima ni pea 2 kwa kila mmoja , halafu koti lababu , ugoro, kilo za nyama zakuchomwa hiyo siku na utagharamia zote hizo. Kingine blanketi ya babu na bibi, baba na mama, napesa taslim kama huna ng'ombe wakutoa ila lazima dume achinjwe jiandae kama watakubali , kukukaribisha kwenye boma kuna tambiko litafanywa utavaa kimasai .

Hili jingine utapewa baada ya ndoa ikikamilika utakabidhiwa ng'ombe na mbuzi zakutosha kama wana mashamba utapewa kidogo. Halafu ndio Mkaanze maisha yenu. Ila hawapendi mkienda mbali.

Mahari kwa hizo ng'ombe ni ifuatavyo kama anabikra ng'ombe ni 80 ila kwa sasa ni 50 jua hilo, ambaye amezaa ukaamua kumuoa watano tu. Kwa ambaye hana mtoto na anaelimu na hana bikra ni ng'ombe 15 .
Haya kazi kwako sasa
Daaah mambo ni mengi, Kazini ninapo fanya kazi nipo na Bint wa kimasai yupo vizur lakini hapendi mambo ya Wanume mpaka tunahisi atakua kakeketwa na ukitongozwa ana nuna na hataki kiongea tena na aliyemtongoza, ni Msichana wa miaka 30.
 
Back
Top Bottom